100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 10,226
- 36,553
La hawla wala quwwata illa billah.Acha kuwatania waislam wewee
La hawla wala quwwata illa billah.
Nyie manaswara mnaamini mtaingia peponi kwa kumuamini nabii ISSAH
Wayahudi wanaamini wataingia peponi kwa kumuamini nabii MUSSA
Sie waislamu tunawaamini manabii hao wote na imani yetu kuingia peponi ni kumuamini mtume MUHAMMAD REHEMA NA AMANI ZIWE JUU YAKE.
Nyie mayahudi na wanaswara hamtoingia peponi kwa kutomuamini MTUME MUHAMMAD REHEMA NA AMANI ZIWE JUU YAKE.
Ngoja nipumzike Allah akijaaliya mapema niwahi Salat al-Jumu'ah.
Jumma Mubaraka , nakuombea dua uingie kwenye uislamu.
Jambo sana Rafiki...mambo vp?Jambo sana kamanda
Tulia sindano ikuingie.Mzee uzi ni wapicha au mawaidha ya dini?
Ndio maana mods huwa wanaishia kupiga pini nyuzi kwa sababu ya watu kuanzisha maudhui yanayoleta malumbano...
Mwaaah Eid nakuja kula kwako
Karibu Sana.Mwaaah Eid nakuja kula kwako
Tulia sindano ikuingie.
View attachment 2954183
God is great we are all doing well.Jambo sana Rafiki...mambo vp?
Sijaelewa hapa,Rafiki umesemajeGod is great we are all doing well.
Mashallah..
Nina swali! Kila siku huwa natamani kuuliza ila nameza tu.. ukiniruhusu naomba niulizeπ
Hahaha mzee utakuwa unapenda kujibiza...
Umefuta comment ya mwanzo ya maneno, ukaweka hii ya picha...
Jioni timba maskani tupige futar matata, usimsahau Gayoman Maghayo
π€Sijaelewa hapa,Rafiki umesemaje
Nina swali! Kila siku huwa natamani kuuliza ila nameza tu.. ukiniruhusu naomba niulize
Nimemeza tena labda next time....πHey ephen
Just go ahead dear, be free...
Lala wewee
Hahaha ulipoteaga wapi? Naona jana palmer aliwaokoa.Janjanja umekuja kudunda selfika ya Mola hii
Haya naomba kaselfie kako
Totooooo!!!Mungu akiwa upande wetu binadamu ninani hata apinge???π€πππͺ
Yanga daima mbelee ππππππ€
Kila la kheri Yangaaa ππππ€
Enjoy your weekend na ushindi kabambe kutoka Yangaaaπͺπͺπͺπͺπͺπͺπͺπͺπͺπͺπͺπππππππππππ€