Selfika na JF: Snap it. Show it

Kamera wapi wewe ni photogenic madam kila nguo kila pozi linakutoa muahhh
Mwehh ungejua hapo zinapigwa foto kama 50 then nachagua moja yenye unafuuu😁😁😁🀠🀠🀠!
 
Hahaaa kila nikikuona nasikia
β€œHayke hayke hayke hayke
Hayke hayke hayke

Pesa ndogo tu kufika hizo waterfall 🀣🀣
Sijakuelewa hayke maana yake nn au umenifananisha
Anyway wadada wazuri kama wewe tunakaza kichwa tunakubali tumeelewa

Nimepokea mamaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sijakuelewa hayke maana yake nn au umenifananisha
Anyway wadada wazuri kama wewe tunakaza kichwa tunakubali tumeelewa

Nimepokea mamaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Sijakufananisha we mjukuu wa amapiano. Au hayke hujui iko ktk piano la mnike?
Unadhani nimekusahau kwenye uzi wa kompa. Hahaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…