Wale wa get together π€£π€£π€£Ila zipo, na Zina Nia njema tu ya kusaidiana etc,nilivyoambiwa!
Ni vile tu mi sio mpenzi wa hizo issue
Sipendi ma group
Halafu sio Hawa jf wa Leo utoto mwingi ,wapo wa zamani sn ,wako vzr tu!
NdiyoNimeona cake nimekumbuka kumbe nakudai cake yangu πππ
Umecopy wapi? πKyala ulinamaka, ngana nongwa na ugwe
Amecopy kwa mtu huyoKumbe ni mwaisaaa weweπ
Hii cake nilipanga nimpe zawadi Tayana-wog kipindi cha bday yake nikala ban πππNdiyo
Unanidai mpenzi π₯°
Nasubiri tu ukohoe nikuletee
MweeHii cake nilipanga nimpe zawadi Tayana-wog kipindi cha bday yake nikala ban πππ
Joannah sisy naomba nikupe cake ya valentine πππ
Anne mtengenezee da Joa cake
Shemeji hana mbambambaπππ Mfanyabiashara unajua kujipigia debe.
Yes, Kuna nyuzi zao humu π€£πWale wa get together π€£π€£π€£
Wale nasikia ndo walikuwa balaa kwa kupelekeana moto mtafute Madame B akwambie πππ
MmmhAmecopy kwa mtu huyo
Jmn cake haioziHii cake nilipanga nimpe zawadi Tayana-wog kipindi cha bday yake nikala ban πππ
Joannah sisy naomba nikupe cake ya valentine πππ
Anne mtengenezee da Joa cake
Shikilia hapohapo wizoJmn cake haiozi
Ungetoa oda Ingenifikia tu!
Nalitaka cake yangu plsπ
Maadamu alidhamiria anunue tu ,hakuna namna wizooMwee
Kwahiyo Wizo wangu ameikosa!
Aipate tu hivyohivyo, hakuna namna.. na Mtumishi Joannah apate pia,, uzuri hamna mbambamba matajiriπ
Joannah una keki yako kwangu.
NdiooooShikilia hapohapo wizo
Hahahahaha..tulikosa selfie yako ikabidi tuufungulie u selfike kdgEhee huu uzi ulifunguliwa
Nisaidie kushangaaππMmmh
How
ππππ Cake ya pongezi ya kupata mchumba?? Mimi yule mchumba ake nimemkataa ni wizzy ndio anakomalia yule jamaa amchukue mdogo angu tayanaShemeji hana mbambamba
Ukikohoa tu, wiii naye huyo anapata cake, iwe ya Pongezi ya kupata mchumba.
ππππ Nilipanga niku surprise si ndo ikatokea ban aiseee!!Jmn cake haiozi
Ungetoa oda Ingenifikia tu!
Nalitaka cake yangu plsπ
ππππ Cake ya pongezi ya kupata mchumba?? Mimi yule mchumba ake nimemkataa ni wizzy ndio anakomalia yule jamaa amchukue mdogo angu tayana