Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,242
- 86,932
Moyo wangu nimemuweka Bwana wa majeshi, yy anitosha 🙏Fungua moyo acha uoga mrembo, usipishane na gari la mshahara😃
Moyo wangu nimemuweka Bwana wa majeshi, yy anitosha 🙏Fungua moyo acha uoga mrembo, usipishane na gari la mshahara😃
Kufungua zipu ya gauni ni matumizi mabaya ya muda, inapandishwa tu chap ninafunika kichwa. raraa reree😂😂😂😂😂 Unatamani ufungue zipu ya gauni
Mfyuuu!! 🤣🤣🤣Umesimama kama mnara 🗼🔥🔥🔥
Embu malizia basi toto unachopasa kufanya 😄😉Mfyuuu!! 🤣🤣🤣
🤐Njooni tulewe 😂😂😂
Majeshi gani kwani. 😂Moyo wangu nimemuweka Bwana wa majeshi, yy anitosha 🙏
Kaka upo?? 🤣🤣🤣
Nimefurahi sana leo Lamama avotubless tangu uzu urejeshwe alikua anakula konakona🤠🤠!Nazikumbuka zile za siku ile. Daah tarehe 14 sio mbali ujue, hutaki kumjibu Mahondaw 😂
Huyo wa church si nasikia ni mume wa wajane, kwani wewe mjane😂Valentine ntakuwa zangu church nikiwa na mpenzi wa roho yangu tukiikabili siku 40 za mateso yake 😍😍😍
HahahahahaHuyo wa church si nasikia ni mume wa wajane, kwani wewe mjane😂
😂😂😂😂😂Huyo wa church si nasikia ni mume wa wajane, kwani wewe mjane😂
Nimefurahi sana leo Lamama avotubless tangu uzu urejeshwe alikua anakula konakona🤠🤠!
Lamomy wamotrooooo 😍🔥 🔥🔥🔥🔥 Mwenye anamkula anafauduuuuu!
Rafiki nawe do the needful Jioni yangu ikae vizuri zaidi pulllllllliiiiiiiiizzzzz!
# Story fupi fupi picha kwawingi wapendwaaaa
Au nimekosea mkuu🤣Hahahahaha
😂😂😂😂😂🙌🙌Embu malizia basi toto unachopasa kufanya 😄😉
Hapana usiondoe,vijana wanahitaji kuponya hisia kwa njia hata ya mafuta na mikono,Kaka upo?? 🤣🤣🤣
Ngoja nifute kabla hujaanza kutafuta sura za FH 🏃♀️🏃♀️🏃♀️🏃♀️
🤣🤣🤣🤣 Wa wote mpk single ladiesHuyo wa church si nasikia ni mume wa wajane, kwani wewe mjane😂
Hahahaha..mie msomaji tu mkuuAu nimekosea mkuu🤣
🤣🤣🤣🤣🤣 mxiewwwwwHapana usiondoe,vijana wanahitaji kuponya hisia kwa njia hata ya mafuta na mikoni,
Acha,
Waponye tafadhali.