Nnayo hataa! Kimeo kichokua kinanitoa vizure kishakufaga kitambo sana ya saii inanitoa kama nilivoooo no hips no traa nimepaukaaa nasura yangu ya bibi weeee Situmi ng'o π€Haya weka yako sasa mpiga picha π€£π€£π€£π€£
Ahh weeeh ! subutuuuuπ€£π€£π€£π€£π€£ Weka hivyo hivyo
Natamani niwatumie video yangu Ila wizzy atanimind kinyama bora nikaushe
Nazingua sina video yoyote π€£π€£π€£π€£Ahh weeeh ! subutuuuu
Tuma bana unogeshe uzi story zimekua nyingi sana zinaharibu uzi!
Tupia mwaego
#Na picha
Mmh[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji1544][emoji1544][emoji1550][emoji1550][emoji1550]
What a sick Veg.
Zinaonekana hapo, we zooomKhaaa umejuaje??
π³π₯Wale wa mizigo aka Fuso....View attachment 2898005
maana tungekuja kuona picha za hivyo wakiwa Location na Choir Masters [emoji847][emoji1787]Mambo ya Location hayo
Mimi ndiyo maana nilimpiga marufuku Bibi yenu kuimba hata kwaya ya Church, maana tungekuja kuona picha za hivyo wakiwa Location na Choir Masters [emoji847]
Umeona eeh π€Hahahahaha, hapo mahari 10m hutakiwi kulalamika kabisa
Bila hizi hadithi za Sungura na Fisi mngenikuta Babu yenu nimeshajifia Kwa stress π€Babu tupia acha hadithi za sungura na fisi π€£π€£π€£π€£
Hao watu ni hatari Kwa Afya za waimba kwaya wa kike, kuja kutahamaki wife anajifungua mtoto kafanana na Choir master.maana tungekuja kuona picha za hivyo wakiwa Location na Choir Masters [emoji847][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
π₯°πππ
Siku Ile zile mboga ulizokuwa unakula tulizifananisha na hiziWhat a sick Veg.
Kwenda πNyanya mbichi
SanaHii menu ya kibabe sana