Nakaziaaaaaaaaaaaaaaa....!! Yanu wanawake sisi kwa sisi hatupendaniii Ndiomana ni Bora niwe na marafiki wa kiume tu nao ukicheka nao mkafurahii unaambiwa wamekulaaaa hahaaaa!!
Mdada yuko radhi akukandieeeee akuongeleeeee vibayaa ilimradi tu anamtaka au anamtamani huyo mwanaume!! Mwingine anakukasirikia kabisa kisa tu ukaribu na mkaka fulani humu yanii ! Mwingine hadi anataka kumpangia huyo mwanaume usiongeee au kuwa karibu na Antonnia humu nyieee!!!
Mchawi wa mwanamke ni mwanamke mwenzieee!! Kila mmoja ashinde mechi zakee wanawake wenzangu Wanaume wenyewe hawaaa akishakukojolea tu