Selfika na JF: Snap it. Show it

nasubiri muamala tu hapa πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜….. dogo mwarabu walimpiga china wakanirudisha tena πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™.. ila muamuala wa DP World nausubiri πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Hongera sanaπŸ‘πŸ‘
Sa mbona sikupewa mgao wa maombi niliyofanyaπŸ˜…
Au hujui walawi tunakula madhabahuni?

Dp 🌍 Ina wenyewe jmn πŸ˜…
 
nasubiri muamala tu hapa πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜….. dogo mwarabu walimpiga china wakanirudisha tena πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™.. ila muamuala wa DP World nausubiri πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Code moja nzito Sana🀣😁, ma great ufukunyuzi tume ijuaπŸ€£πŸ˜‚πŸƒπŸƒπŸƒπŸ’ͺ
 
Mchawi si lazima arogee wapendwa mwingine huyuu hapa ambae alijazia nyama kutoka kwahuyo mchawi wa hapo juuu !!
Teeeenaa huyu unyafuzi hiki kipindi alisema nahaha sana nimechanganyikiwa kwakua bado nampenda huyo mtu nakwamba mimi namuomba msamaha huyo mtu mwenye kapo zake mpya humu ili turudiane!!
Huyu alikua anachukua kila kitu ninachokifanya humu anaenda kumwambia jamaa na kunipondea sana!
 
Hongera sanaπŸ‘πŸ‘
Sa mbona sikupewa mgao wa maombi niliyofanyaπŸ˜…
Au hujui walawi tunakula madhabahuni?

Dp 🌍 Ina wenyewe jmn πŸ˜…
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… kazi ikifika stage flani.. inabidi bahasha zitembee tu hakuna namna..

Unapendeza, Mungu anakutunza .. endelea kutuombea πŸ™πŸ™
 

Kwan ni kina Nani hao

Kivumbi leo
Nachati sana vidole vinauma
Sijui kama nitapiga nyeto leo
 
DuhπŸ™„πŸ€”
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… kazi ikifika stage flani.. inabidi bahasha zitembee tu hakuna namna..

Unapendeza, Mungu anakutunza .. endelea kutuombea πŸ™πŸ™
Bwana alifyefanikisha Hilo,atafanya na atafanya tena in Jesus name I pray!

Kwakweli Neema yake tu sio Kwa ujanja!
Tumetoka Dodoma,tunasubiri mbeya na iringa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…