Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,486
- 96,954
Dogo tusalimiane kwanza, isiwe Kama wote tume kula na wahindiπππ€π€ bado sana najitafuta kwaza
unadhani ni buku tu sioπVipi tuku oneshe mgahawa wa wajapanππ€
Badae uje uweke mzigo mzito uwe kama Kijana wako TrumpSija Zama huko toka juzi, ila nili Acha net flix ana kimbizaπ€
Kikubwa ule kwanza, uki zidiwa uta kimbilia balozi za tz au marekaniπππ€£unadhani ni buku tu sioπ
Hongera sanaππnasubiri muamala tu hapa π π π .. dogo mwarabu walimpiga china wakanirudisha tena ππππ.. ila muamuala wa DP World nausubiri π π π π
Lazima hiyoo mzee, hata dollar elfu 5000. Mbona unaeza kimbiza.Badae uje uweke mzigo mzito uwe kama Kijana wako Trump
Code moja nzito Sanaπ€£π, ma great ufukunyuzi tume ijuaπ€£πππππͺnasubiri muamala tu hapa π π π .. dogo mwarabu walimpiga china wakanirudisha tena ππππ.. ila muamuala wa DP World nausubiri π π π π
Vyote Yesu na pesa ,utaona unakula mema ya nchiAisee ngoja nitafute pesa
Samahani kwa Nini isiwe MUNGU??, Coz Hana msaidizi au mshirikaπ€Vyote Yesu na pesa ,utaona unakula mema ya nchi
π π π π kazi ikifika stage flani.. inabidi bahasha zitembee tu hakuna namna..Hongera sanaππ
Sa mbona sikupewa mgao wa maombi niliyofanyaπ
Au hujui walawi tunakula madhabahuni?
Dp π Ina wenyewe jmn π
Mchawi si lazima arogee wapendwa mwingine huyuu hapa ambae alijazia nyama kutoka kwahuyo mchawi wa hapo juuu !!
Teeeenaa huyu hiki kipindi alisema nahaha sana nimechanganyikiwa kwakua bado nampenda huyo mtu nakwamba mimi namuomba msamaha huyo mtu mwenye kapo zake mpya humu ili turudiane!!
Huyu alikua anachukua kila kitu ninachokifanya humu anaenda kumwambia jamaa na kunipondea sana nimejuajee bado naendelea!!
Duhππ€Mchawi si lazima arogee wapendwa mwingine huyuu hapa ambae alijazia nyama kutoka kwahuyo mchawi wa hapo juuu !!
Teeeenaa huyu hiki kipindi alisema nahaha sana nimechanganyikiwa kwakua bado nampenda huyo mtu nakwamba mimi namuomba msamaha huyo mtu mwenye kapo zake mpya humu ili turudiane!!
Huyu alikua anachukua kila kitu ninachokifanya humu anaenda kumwambia jamaa na kunipondea sana nimejuajee bado naendelea!!
Vyote Yesu na pesa ,utaona unakula mema ya nchi
Bwana alifyefanikisha Hilo,atafanya na atafanya tena in Jesus name I pray!π π π π kazi ikifika stage flani.. inabidi bahasha zitembee tu hakuna namna..
Unapendeza, Mungu anakutunza .. endelea kutuombea ππ
Mungu afanye wepesi.. ukiwa na Β£10,000 itapendezaa ππLazima hiyoo mzee, hata dollar elfu 5000. Mbona unaeza kimbiza.
πMaana una kuta I'm shuka kutoka 170- 145. - Ina panda Hadi 180;.
πSo possibility ya kuwa daily trader au long holder Ina weza fanya kitu.
Ile ileeNamba yako ile ile au umebadilisha
π Wewe huyoNije PM unielekeze jinsi ya kuvipata