Selfika na JF: Snap it. Show it

Oya Kuna mtoto white mmoja anaitwa zenana! Ana balaa uyooo anafunga huyooo.
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… nisingeweza kuwa mwanajeshi mie .. nisingeshindwa toa siri zenu kisa utraamu... Si kipindi tunamaliza chuo tulikuwa tunachukuliwa sana.. siku hiyo kila kitu nimeweka sawa nikaishi getini nikarudi huyo home..
Jeshi ni muhimu katika taifa, ila kwangu ingekuwa jau SanaπŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚.
πŸ‘‰Napenda Uhuru wangu, na Nina mengi ya kufanyaπŸ€’. So jeshini nisinge yafanya😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…