π π π hela niliyo acha pale unajenga mjengo chumba na sebule.. alafu nili muwini vipi. nilikuwa nakaa pale Blue bird.. wakati mwingine nilikuwa namuita tunakaa room tunapiga story sanaa , alafu namuachia hela bila kumkaza.. akanipenda sana akawa ana share na mie hadi mambo yake ya ndani kabisa... so mie pale home hata nikienda sina mie nakula mkopo
π π π π π nisingeweza kuwa mwanajeshi mie .. nisingeshindwa toa siri zenu kisa utraamu... Si kipindi tunamaliza chuo tulikuwa tunachukuliwa sana.. siku hiyo kila kitu nimeweka sawa nikaishi getini nikarudi huyo home..
Jeshi ni muhimu katika taifa, ila kwangu ingekuwa jau Sanaπ€£ππ.
πNapenda Uhuru wangu, na Nina mengi ya kufanyaπ€. So jeshini nisinge yafanyaπ