Habari yako ndugu yangu Mwachiluwi, nime kukumbuka Sana best angu.
👉Vipi u Hali gani rafiki, namaanisha na SI unafiki.
👉Uko wapi urafiki wetu ulio anzia jukwaa la usiku wa manane.
👉Ni mimi rafiki yako mpendwa l, I mean no malice to nobody
Ahahahah ahaya nenda uki babe wako kafika ujafunzwa mwanaume akitoka kazini kama ulikuwa unapiga story na wenzio unaacha unaenda msikiliza je kama anataka cha jioni aemde mazoezini vzr haya toka hapa sitaki kukuona 😂😂