Sasa huyu nikimaliza tu kutoa umbeya wake ananitoa sadaka , ila nakupa pakuanzia tu nawewe umalizie alipata demu humu nanimtu mzima kiasi anakatoto kake kazuri , kakike wakaanza kudate na inshort huyu dada alikuwa kwa National Anthem si yule kademu kake akajua akafanya vurugu huyu dada wa jf akazira hadi naleo , mbaya zaidi kale kademu muda sio mida kakahama hapo saivi ndo anamfukuzia demu fulani humu sijamjua jina la utani humu ila ndio ukweli .alipigwa saivi ukimwangalia vizuri anashtuka shtuka kutokana na kichapo .
Hebu soma uzi fulani PM achana na hizi bahnaπ π π yani hadi nasahau mkeka wangu.. sio kweli aisee... huu mkeka wa mtu mwingine sio mie..
Dada Maua asikilizwe, ana kituπ€£π€£National Anthem Kuna hoja hapaππ€£??
hapana sijawai toka na mwana jf hata mmoja ...
kipindi kile ilikuwa rahaa... ebu ijuduie basi wapendwa wetu ππWalai kipindi kile ndio ingekua Saivi nahisi ningeshakimbia id yangu π€ π€ π€£! Zile naked ππππππ!! π€ πππ!
Kadai ni uongoo ila kiukweli nimeoewa na mtu huo umbeya[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ***** kumbeeee!! Afu anajifanya baba askofu kumbe ndiye lucifer mwenyewe!!!! Maua shogaangu wewe ni kiboko
Ahsantreeeeeeee kwa kunifungulia code
huo mkeka batili πππDada Maua asikilizwe, ana kituπ€£π€£
Kumbuka yule dada wa jirani mlikuwa mnamwita tunda ukamwomba gemu ukapewa mkaanza mahusiano right?? Huku ukadai unataka kubadili mboga yule demu uliyempata humu akawa anakuja jioni halafu baadae tunda akajua ukala kichapo huyu dada wa jf akakasirika ndio ukatemwa mazima . Kumbuka sakata hilo tena ulimpata kigafla tu alikufuata inbox
National Anthem una lipi la kusema π€£π€£ etiUnajua hili gazeti ni lasiku nyingi ndio maana humjui huyu mtu umeamua kumweka back list , ila huyu dada alikufaa sana nipo serious ndio maana wanakuita malaya
Badae kidogo, saivi nipo kwa boda bodaEmbu tupia nyingine basi ππ
weyeer acha kula tango pori banaaa π π π[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ***** kumbeeee!! Afu anajifanya baba askofu kumbe ndiye lucifer mwenyewe!!!! Maua shogaangu wewe ni kiboko
Ahsantreeeeeeee kwa kunifungulia code
Sikia tuliwahi chart inbobo kuhusu jambo la hela so kakwenye mstari@national anthem unasoma au??wewe utafanya watu tuogope kuchat humu
Umedate na mtu humu kipindi kifupi tu kabla tunda hajahama
Aisee nimecheka sanaπ€£π€£π€£huo mkeka batili πππ
π π π hakuna ukweli hapo .. mie sijawai date na mtu humu.. kwanza warembo wote humu wamefunga pm.. naanzaje sasa tupa ndoanaNational Anthem una lipi la kusema π€£π€£ eti
Mna elekea kumuona mgonjwa π€£πBadae kidogo, saivi nipo kwa boda boda
Me naenda kulewa na baby wanguπ€£π€£Mna elekea kumuona mgonjwa π€£π
Sikia bhana natania hebu njoo PM Unileezee jambo au nifuree sasa hiviweyeer acha kula tango pori banaaa π π π
Ok hapo sawa alafu mwambie aende taratibu mshikilie vizuri sawa πBadae kidogo, saivi nipo kwa boda boda
π π π kaisha pigwaa tayari na alie mpa info pamoja na muhalili wagazeti..Aisee nimecheka sanaπ€£π€£π€£
Sema nini, aliyempa info em akamuulize vizuri itakua alichanganya majina