Selfika na JF: Snap it. Show it

SIo sifa ya mwanaume kupenda kijana ndio maana scripture inaseme "mwanaume MPENDE mkeo"..kwakua sio nature yetu kupenda..

Na angalizo la msingi ni hili, hata ukitokea kupenda, jitahidi ku contain hiyo feeling.
VIjana wa leo wengi mnakwama hapo
Hapo sahihi ila kuna wengine sisi ni dhaifu kwenye mapenzi kias tunashindwa kujitetea
 
Mimi nawapenda sana wamama wenye haiba km huyu wako

Mpe hi soon nitampa zawadi nzuri mwambie
Ni peac sana na ndio alikuwa mtatua matatizo yote nyumban baba yeye alikuwa analia ila mama huyu jembe af baba katurithisha watoto wote mimi naweza nikapatwa shida bas nampigia simu mama au dada yangu mkubwa anaupendo sana mama yetu
 
Ni peac sana na ndio alikuwa mtatua matatizo yote nyumban baba yeye alikuwa analia ila mama huyu jembe af baba katurithisha watoto wote mimi naweza nikapatwa shida bas nampigia simu mama au dada yangu mkubwa anaupendo sana mama yetu

Mtunze sana mama yako bro

Kuna wengine tulitamani kuwa nao, lkn hatujabahatika
 
Mijambazi na mihujumu uchumi ya humu ndani uliwezana nayo kweli, ???
Ndio mkuu tulifika hatua mnzuri sana kwaza tulianza mahusihano kipindi kibaya sana kwangu alinijari sana mpka nikawa sawa sijui nisemeje lakini nilikuwa simfwatilii sasa nilipo mpenda sana nikaanza wivu mfwatilia sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…