Ni peac sana na ndio alikuwa mtatua matatizo yote nyumban baba yeye alikuwa analia ila mama huyu jembe af baba katurithisha watoto wote mimi naweza nikapatwa shida bas nampigia simu mama au dada yangu mkubwa anaupendo sana mama yetu
Ni peac sana na ndio alikuwa mtatua matatizo yote nyumban baba yeye alikuwa analia ila mama huyu jembe af baba katurithisha watoto wote mimi naweza nikapatwa shida bas nampigia simu mama au dada yangu mkubwa anaupendo sana mama yetu
Ndio mkuu tulifika hatua mnzuri sana kwaza tulianza mahusihano kipindi kibaya sana kwangu alinijari sana mpka nikawa sawa sijui nisemeje lakini nilikuwa simfwatilii sasa nilipo mpenda sana nikaanza wivu mfwatilia sana