πππ Nabaki nahisia, kuna mwamba humu anamawasiliano mazuri sana na mod wa jf... kuna mahala alisikia namkula manzi wake, wakati sio kweli hata Pm sijawai chart na hiyo manz.. tangia hapo mikosi inaniandama humu
Sema nini, wazushi hawa ndio maana hawanaga option ya kufuta account, maupambavu kama haya watu wengi wanafuta account zao... mie sijawai lala hata na dada mmoja JF sio kulala tu hata kukutana usoso kwa uso sijawai... ila mtu anatokea tu kukuchukia kama sio uchawi nini aisee
Sema nini, wazushi hawa ndio maana hawanaga option ya kufuta account, maupambavu kama haya watu wengi wanafuta account zao... mie sijawai lala hata na dada mmoja JF sio kulala tu hata kukutana usoso kwa uso sijawai... ila mtu anatokea tu kukuchukia kama sio uchawi nini aisee