Jack Palladino JF-Expert Member Joined Feb 24, 2018 Posts 7,245 Reaction score 22,552 Jul 13, 2023 #350,381 Lenie said: Hiyo Grant's inaniongezea kiu ujue😋 Click to expand... Hii haikufai wewe😅 Savanna😇
ChickMagnet JF-Expert Member Joined Jul 19, 2013 Posts 2,702 Reaction score 3,554 Jul 13, 2023 #350,382 views kutoka floor ya 21
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,823 Reaction score 233,255 Jul 13, 2023 #350,383 mtu chake said: Serious ! Kazi ya haosegirl? Click to expand... Ndiyo Mkuu natafuta Kama una connection naomba
mtu chake said: Serious ! Kazi ya haosegirl? Click to expand... Ndiyo Mkuu natafuta Kama una connection naomba
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,021 Reaction score 177,335 Jul 13, 2023 #350,384 mtu chake said: Hujatupia kitambo sana ,Odo Click to expand... Nilishaachaga izo mambo mkuu!
5 511 JF-Expert Member Joined May 8, 2023 Posts 4,232 Reaction score 7,848 Jul 13, 2023 #350,385 Tinsley said: Okay acha nichangamke kidogo Click to expand... Umeshindaje lakini?
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Jul 13, 2023 #350,386 Jack Palladino said: Hii haikufai wewe😅 Savanna😇 Click to expand... Nataka nijifunze izo vitu, savanna nishaizoea saivi hainileweshi eti
Jack Palladino said: Hii haikufai wewe😅 Savanna😇 Click to expand... Nataka nijifunze izo vitu, savanna nishaizoea saivi hainileweshi eti
Mwachiluwi JF-Expert Member Joined Mar 10, 2022 Posts 33,586 Reaction score 66,282 Jul 13, 2023 #350,387 Lenie said: Tutampitia ofisini kwake Jiandae mapema Mwachiluwi Click to expand... Kesho siendi nafanya kaz nyumbani najiaanda na safari juma mos
Lenie said: Tutampitia ofisini kwake Jiandae mapema Mwachiluwi Click to expand... Kesho siendi nafanya kaz nyumbani najiaanda na safari juma mos
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Jul 13, 2023 #350,388 Rabbitus said: Umeshindaje lakini? Click to expand... Salama tu .
Mwachiluwi JF-Expert Member Joined Mar 10, 2022 Posts 33,586 Reaction score 66,282 Jul 13, 2023 #350,389 ChickMagnet said: views kutoka floor ya 21 View attachment 2686731 Click to expand... Upo nyuma ya four points?
ChickMagnet said: views kutoka floor ya 21 View attachment 2686731 Click to expand... Upo nyuma ya four points?
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Jul 13, 2023 #350,390 Mwachiluwi said: Kesho siendi nafanya kaz nyumbani najiaanda na safari juma mos Click to expand... We si umesema kesho asubuhi tuje ofisini boss utupe kazi
Mwachiluwi said: Kesho siendi nafanya kaz nyumbani najiaanda na safari juma mos Click to expand... We si umesema kesho asubuhi tuje ofisini boss utupe kazi
5 511 JF-Expert Member Joined May 8, 2023 Posts 4,232 Reaction score 7,848 Jul 13, 2023 #350,391 Tinsley said: Salama tu . Click to expand... Nashukuru kwa ujumbe wako mzuri🙏
Mwachiluwi JF-Expert Member Joined Mar 10, 2022 Posts 33,586 Reaction score 66,282 Jul 13, 2023 #350,392 Lenie said: We si umesema kesho asubuhi tuje ofisini boss utupe kazi Click to expand... Yah wewe njoo ukishafika nipigie nitakupa mtu wakukupokea nipo nje ya muda
Lenie said: We si umesema kesho asubuhi tuje ofisini boss utupe kazi Click to expand... Yah wewe njoo ukishafika nipigie nitakupa mtu wakukupokea nipo nje ya muda
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Jul 13, 2023 #350,393 Rabbitus said: Nashukuru kwa ujumbe wako mzuri🙏 Click to expand... Okay thanks
Tresor Mandala JF-Expert Member Joined Aug 20, 2010 Posts 43,253 Reaction score 90,457 Jul 13, 2023 #350,394 Saint Anne said: Ndiyo Mkuu natafuta Kama una connection naomba Click to expand... We nilikupa connection ukapotezea ujue, ila ok ,nitakuona
Saint Anne said: Ndiyo Mkuu natafuta Kama una connection naomba Click to expand... We nilikupa connection ukapotezea ujue, ila ok ,nitakuona
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Jul 13, 2023 #350,395 Mwachiluwi said: Yah wewe njoo ukishafika nipigie nitakupa mtu wakukupokea nipo nje ya muda Click to expand... Aaah boss mwenyewe huyoooo, una hadi assistant Basi sawa, me kesho mapema nitakua hapo then jioni wavuvi camp kama kawa
Mwachiluwi said: Yah wewe njoo ukishafika nipigie nitakupa mtu wakukupokea nipo nje ya muda Click to expand... Aaah boss mwenyewe huyoooo, una hadi assistant Basi sawa, me kesho mapema nitakua hapo then jioni wavuvi camp kama kawa
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,823 Reaction score 233,255 Jul 13, 2023 #350,396 mtu chake said: We nilikupa connection ukapotezea ujue, ila ok ,nitakuona Click to expand... Connection ipi? Kama ni ile mambo ya podcast Mimi sina ujuzi nayo kabisa. Natafuta uhousegirl,Elimu yangu kidato Cha nne failure. Kama unayo naomba Boss.
mtu chake said: We nilikupa connection ukapotezea ujue, ila ok ,nitakuona Click to expand... Connection ipi? Kama ni ile mambo ya podcast Mimi sina ujuzi nayo kabisa. Natafuta uhousegirl,Elimu yangu kidato Cha nne failure. Kama unayo naomba Boss.
Mwachiluwi JF-Expert Member Joined Mar 10, 2022 Posts 33,586 Reaction score 66,282 Jul 13, 2023 #350,397 Lenie said: Aaah boss mwenyewe huyoooo, una hadi assistant Basi sawa, me kesho mapema nitakua hapo then jioni wavuvi camp kama kawa Click to expand... Itapendeza tena kesho athuman si atakuwep itakuwa raha sana ngoja niangalie ratiba ya kesho wavuvi
Lenie said: Aaah boss mwenyewe huyoooo, una hadi assistant Basi sawa, me kesho mapema nitakua hapo then jioni wavuvi camp kama kawa Click to expand... Itapendeza tena kesho athuman si atakuwep itakuwa raha sana ngoja niangalie ratiba ya kesho wavuvi
Tresor Mandala JF-Expert Member Joined Aug 20, 2010 Posts 43,253 Reaction score 90,457 Jul 13, 2023 #350,398 Saint Anne said: Connection ipi? Kama ni ile mambo ya podcast Mimi sina ujuzi nayo kabisa. Natafuta uhousegirl,Elimu yangu kidato Cha nne failure. Kama unayo naomba Boss. Click to expand... Hahahahaha,sawa ,Boss umeeleweka
Saint Anne said: Connection ipi? Kama ni ile mambo ya podcast Mimi sina ujuzi nayo kabisa. Natafuta uhousegirl,Elimu yangu kidato Cha nne failure. Kama unayo naomba Boss. Click to expand... Hahahahaha,sawa ,Boss umeeleweka
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,823 Reaction score 233,255 Jul 13, 2023 #350,399 mtu chake said: Hahahahaha,sawa ,Boss umeeleweka Click to expand... Nipe sasa kazi Kama una Boss mwenzio huko anatafuta beki tatu,Yaya Ndio kazi zangu hizo.
mtu chake said: Hahahahaha,sawa ,Boss umeeleweka Click to expand... Nipe sasa kazi Kama una Boss mwenzio huko anatafuta beki tatu,Yaya Ndio kazi zangu hizo.
Jack Palladino JF-Expert Member Joined Feb 24, 2018 Posts 7,245 Reaction score 22,552 Jul 13, 2023 #350,400 Lenie said: Nataka nijifunze izo vitu, savanna nishaizoea saivi hainileweshi eti Click to expand... Duh basi umepanda level kidogo😅
Lenie said: Nataka nijifunze izo vitu, savanna nishaizoea saivi hainileweshi eti Click to expand... Duh basi umepanda level kidogo😅