Wee akati G hapa nilipo namuonaa yulee, nshamtumia text kaccheka balaaa.Huko mbali, kilete chap kwa haraka
Weh kumbeπππππ! Hata bila dawa anayatoa mbonaaa awe tu na staminaa π€! kwa sauti ya Kigi Makasi na cocaaaπππππ!!
Chandamali ile ya bomba mbili kwa wajedaaa,Mimi sio, ila nimekaa sana chandamali
Weeee kumbe!! Lol!Siyo wanasema..., Ni takwa la kisheria! Ukikutwa unaendesha lodge na haina hizo nylons unafungiwa..., Mkoa mzima
Wachaaa weeIle kitu ina raha yake mdogo wangu, mnaweza kujikuta mnalala chini hivi hivi, LAKINI HUACHI.
Asiwe tu na deni la vikoba
Siyo wanasema..., Ni takwa la kisheria! Ukikutwa unaendesha lodge na haina hizo nylons unafungiwa..., Mkoa mzima
Kwa uzoefu wangu Hio labda inaongezea tu make ukila ndizi mara kwa mara hata maeneo unayasikia kabisa yanakua lainiiiiii! Hasa zile ndizi bukoba zile kubwa nene laini!!Weh kumbe
Inawezekana
Na huko kula ndizi inahusiana nayo au ?
huachiiiii, nina experience nayo ndugu yangu, namshukuru Mungu nilitoka salama huo mkoa, mkoa hatari huo, si unamwona nduguyo Antonia katoka zake huko kaenda kojozwa hukoWachaaa wee
Ule Msitu una matukio sio poaπ πChandamali ile ya bomba mbili kwa wajedaaa,
Ule msitu wakee nna historia nayooo.
Tinsley unamsikia shem ako πππ!!Mimi wala sina neno, najua yanakopatikana.
Niliwaombea watu wanaosema sio kila mwanamke anayo, ili nao wapate raha duniani.
Mimi ukija jiandae vizuriπ¦π¦π¦π¦π
Nafeli sana sipendi ndizi wala hizo nyanya chungu .Kwa uzoefu wangu Hio labda inaongezea tu make ukila ndizi mara kwa mara hata maeneo unayasikia kabisa yanakua lainiiiiii! Hasa zile ndizi bukoba zile kubwa nene laini!!
Na nyanyachungu pia nasikia zinalainisha uke!
Mie pia natokaa Nyakiboo Siku si nyingiiii nawafata huko mnakoita mjini kwenyuu msintanieeee ππ!!huachiiiii, nina experience nayo ndugu yangu, namshukuru Mungu nilitoka salama huo mkoa, mkoa hatari huo, si unamwona nduguyo Antonia katoka zake huko kaenda kojozwa huko
Naona shem yuko vere ile mbaya ni mwendo wa kuenjoy πππTinsley unamsikia shem ako πππ!!
Mie nishastaafu Nalea wajukuu tu saivi mambo yenu Vijana hayo!!
Enjoy to the fullest maisha ndio hayahayaaa!!
Yeah hata hizi ndogo ila zile kubwa ni zaidi.. Bamia pia nasikia zinaleta lubricants!!Nafeli sana sipendi ndizi wala hizo nyanya chungu .
Ndizi nakula mara chache kweli
Zile kubwa eeh
Na bamia je ???
Usitoke tu kwa sababu umetoka, unless una issue serious! huo mkoa ni mzuri saana, vegetation, whether, nk nkMie pia natokaa Nyakiboo Siku si nyingiiii nawafata huko mnakoita mjini kwenu msintanieeee!!
Una balaa si la kitoto, yani unapenda ndizi kubwa tu, sasa vibamia vya nini tena unauliziaπ π AntonniaNafeli sana sipendi ndizi wala hizo nyanya chungu .
Ndizi nakula mara chache kweli
Zile kubwa eeh
Na bamia je ???
π¦π¦π¦π TinsleyYeah hata hizi ndogo ila zile kubwa ni zaidi.. Bamia pia nasikia zinaleta lubricants!!
Yeah hapo kwenye vegetation dahhh!! Greenish throughout the year...mvua hali ya hewa sasa dahhh kwahilo nitapamisi sana Bukoba!Usitoke tu kwa sababu umetoka, unless una issue serious! huo mkoa ni mzuri saana, vegetation, whether, nk nk