Selfika na JF: Snap it. Show it

Hao ndo balaa, hawavumi tu kwa sababu ya sura zao
Yeah kwenye sura ni Changamoto ila kitandani noumaaa nanusuuuu!!
Wanajuaa balaaa!!
Plus kujipodoa sasa uwiiiii ni wanajirembaaaaa doh!
Mi wananikosha ule uzungu uzungu wao tu!! Wana swagger hatareeee!!
 
kwanza kazi ya kuweka karatasi la nylon km mtoto mchanga inahuu??
 
wangoni wote sio ke wala me ni viuno mwanzo mwenga, ukiona kiuno kigumu wee sio mngoni uliza vizuri kwa wazazi wakooo.

Nmemkumbuka kadoda wangu wa 1St, nusu tuvunjikeee, woiiiiiih
Mimi sio, ila nimekaa sana chandamali🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…