1. SereMbuga za kasikazini zenye vivutio poa. Nitumke siku 14 huko
ππEti jamani hili ni suala la kumfanya mwenye nyumba atake kunipa notice π€,
πKiss kanikuta nacheza hivi na mwanaeπ€£π Aaliyyah, Antonnia, mshamba_hachekwi, Cute Wife, Depal, Tinsley kujaaView attachment 2665351
Mtoto jau wewe ππ€£π€£π€£π€£π€£Maku kibuyu [emoji1787][emoji1787]
Nafuata mfano wa Ruth kwenye biblia tu,
Kaenda zake kwa Boaz mwenyewe , kamueleza ya moyoni [emoji23][emoji23]
Mtoto jau wewe [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ameniambia kuna mtu alimnyanyasa sana jana hapa jf, hivyo inabidi tumalizane nae hapahapa jfkumbe kuna watu wanahonga huko PM [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] ndio wengine tunaonekanaaa kama mavumbi tuuu dah
Asante kwa mwongozo1. Sere
2. Ngoro- ngoro na sere unaweza ziunganishia... 4 days, 3 night
3. Magoroto.. uwende na kapo yako π
4. Serval.. mwalimu wa mathe si alikwambia simba ni mkali? Basi nenda Serval uone jinsi unaweza mkiss simba- unaweza lalapo.. wako expensive kidogo
5. Tembo kwa uzuri wapo Tarangire- day trip
6. Manyara + zipline ila hizi n day trip.
Vocha anapata nyingi tu, hiyo ni kwa ajili ya waliomnyanyasa hapa jfMbona hiyo vocha imeshatumika kabla ya kutumwa hapa[emoji28]
Ruth ni mfano wa kuigwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Watu wa kwenye bible hawana kona kona
ndo nini hii aisee hebu nifungulie codeπMaku kibuyu [emoji1787][emoji1787]
View attachment 2665371
Dear rabbitus , Im speechless, it took me a while to say this , i like your personality ππππ
I feel so comfortable around you , you treat animals very well. You character is outstanding
Butterflies in my belly uwiii
When i see a message from you , i keep blushing ooh
Hehheeeeeeeee ππππ
She's not cheap, hiyo ni kwa ajili ya waliomnyanyasa jana hapa jfKama katuma buku 10, utatumika miezi 6 free dadeki
Ameniambia kuna mtu alimnyanyasa sana jana hapa jf, hivyo inabidi tumalizane nae hapahapa jf
Ruth ni mfano wa kuigwa
Alikuwa humble na mwenye maadili .
Anamwambia mama mkwe hapana nitaenda nawe , your people will be my people and your God will be my God .
Na mimi ni modern day ruth hapaa hadi shem rabbitus aelewe somo ππππ
anasingizia watu mkuu. mie sihusiki kabisaa kwanzaaaAmeniambia kuna mtu alimnyanyasa sana jana hapa jf, hivyo inabidi tumalizane nae hapahapa jf
Sawa shem πππView attachment 2665381
Nakuja chap
acha gombanisha watu weyeeeee π π πKabisaaaaaa!! [emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji2222]
Vocha anapata nyingi tu, hiyo ni kwa ajili ya waliomnyanyasa hapa jf