Nimewasikia ๐๐
Usiajeleeeee shangazi kipenzi ๐๐ Mtoto marina kanizimia vibayaaa yani anataka nipa na mahela tuishi pamokooo huko BOA abidjan ...Mie nilifeliiigii kingreza mjombaa nitasfiriee pullliiizzzzzzzzzzzzzzz ๐!
Ndio naingia hapaDepal Njoo ofisini....View attachment 2662870
๐ถGeuka mbele tuone chifesi inavoupendezaa zaidi!!๐คฉ
nione mkia wa kondooo ๐ ๐ ๐kwako Aaliyyah ๐
SahihiNimewasikia ๐๐
๐คฃ๐คฃPrawns I guess
Wadudu watamu sana hawa
Hongera mamaโฆnaona ulikuwa unakula maisha..๐๐
Labda wa mbuzi ๐๐๐nione mkia wa kondooo ๐ ๐ ๐
Kumbe ningeyajulia wapi haya si huku tunatumia magari ya ng'ombe ๐๐Kigari kidunchu
๐๐๐DahRangi ya mtume
Hyo lodge naijua
hata wa mbuzi nao mkia ebu tuoneLabda wa mbuzi ๐๐๐
Ningepata wa kondoo kudadeki
Irudie tuoneHahaaa
Tatizo wa kunipiga picha hakuna
Ipo juu huko Moja tu
Kalete chap mkuuHahaha mkuu unaishi wapi? Isamilo ama masaki
ngoja niingie stoo kutafuta Kapicha ka kirikuu๐๐๐
Itafute bana๐คฃIrudie tuone
Kaka si yupo?
๐คฃ๐คฃNimewasikia ๐๐
Haka katoto umekatoa wapi?Hii nyingine ๐คฃ๐คฃ
Hii nyingine [emoji1787][emoji1787]