Ugali wa shikamoo mgumu
Asubhi unafanya usafi,unapika watoto waende shule uhakikishe kilakitu kikosawa unaenda kazini ukirudi unapika unawaandalia watoto na babayao wale watoto wanalala ,ππ
Wew ndo unaamshwa Sasa πππunalala Tena saa 7 usiku πππUnaanza kulala vizuri unaamshwa Tena πππ
Ugali wa shikamoo mgumu
Asubhi unafanya usafi,unapika watoto waende shule uhakikishe kilakitu kikosawa unaenda kazini ukirudi unapika unawaandalia watoto na babayao wale watoto wanalala ,