Hahah...
You know what, I prefer meeting peeps in personal, maana ishatokea so many countless times and i don mind...
Why meeting in personal, maana hapo takutana na mtu mmoja, lakini ukiweka picha it's like one person meeting a bunch of peeps virtually...
Halafu em losers will be like wanakujua sana, idiots watakuja na yao etc etc (na JF bahati mbaya iko zaidi na jamii hii ya watu kuliko wengineo)...