Selfika na JF: Snap it. Show it

Ongera mkuu
 
Why???๐Ÿ˜ถโ€๐ŸŒซ๏ธ
Nimemaanisha tu huwa nalazimika kwenda nje ya nyumba comfort ikizidi.
mshamba_hachekwi Acha kujishtukia ๐Ÿ˜… Dr Lizzy kamanisha vingine kabisa. Kwa hiyo tusitaje Barabara kwa vile ndio ofisi yako๐Ÿ˜…๐Ÿง‘โ€๐Ÿฆฏ๐Ÿง‘โ€๐Ÿฆฏ๐Ÿง‘โ€๐Ÿฆฏ๐Ÿง‘โ€๐Ÿฆฏ
 
mshamba_hachekwi Acha kujishtukia ๐Ÿ˜… Dr Lizzy kamanisha vingine kabisa. Kwa hiyo tusitaje Barabara kwa vile ndio ofisi yako๐Ÿ˜…๐Ÿง‘โ€๐Ÿฆฏ๐Ÿง‘โ€๐Ÿฆฏ๐Ÿง‘โ€๐Ÿฆฏ๐Ÿง‘โ€๐Ÿฆฏ
Bora unisaidie ๐Ÿ‡ ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€

Hapo bado sijamwambia nimezagaa zagaa tu.๐Ÿฅด๐Ÿค“
 
niko nasoma kozi ya computer science.... natamani nije nipate kazi ambayo ni remote, au hata internship..... una recommendation au ushauri wowote labda....๐Ÿ˜…
Uzuri kazi zenu nyingi zinafanyika remotely.

Ila wakati unaanza (iwe kazi kabisa au internship) jiandae kwenda ofisini maana hapa kwetu tunaamini sana katika kwenda ofisini, hata pale ambapo sio lazima. Yani boss asipokuona basi ni kama vile hufanyi kazi hata kama una-deliver. Nilishawahi kuacha kazi inipite kwa kigezo cha kutakiwa ofisini Monday - Saturday bila exception wakati kazi yenyewe ningefanya vizuri tu bila kwenda ofisini kila siku.

Anyway, baadae ukishaji-establish na kutengeneza CV ndio unaweza kutia mbwembwe kwakuwaambia waajiri kwamba one of your requirements ni kufanya kazi remotely.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ