Aahh mimi siwezi kuselfika maana timu yangu ilitoa boko jana hivyo sina furaha, ila kama ikichukua ubingwa wa ligi nitaselfika hilo naahidi, na uje unikumbushe hii ahadi yangu
Wa mtaa huu muwe na usiku mwema Jadda kagoma kuelfika. Acha niende mtaani kwangu sasa nikalale. Nina raha Yanga kashinda, my Man kavurugwa juu yangu, nitake nini tena?
Aahh mimi siwezi kuselfika maana timu yangu ilitoa boko jana hivyo sina furaha, ila kama ikichukua ubingwa wa ligi nitaselfika hilo naahidi, na uje unikumbushe hii ahadi yangu