Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]duuh uko na history kubwa kaka
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sasa ulivyojibu "deal" kwa kujiamini?? Tena hapo nimekuonea huruma tu maana nilitaka nifanye mwezi kabisa!!
Mambo ya Negotiation skills beby, huwezi kuleta ubabe kabla hujapewa mkataba wa kazi...Unaingizwa kwa payroll ndio unaanza story za mshahara mdogo 🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…