NIwachekeshe sasa, mimi nikienda kwenye sherehe, huu usipopigwa. Namafata DJ ama MC yaani mpaka upigwe, nicheze ndiyo roho yangu huuu. Step zake nilizimanya kitambo sana basi ndiyo sababu π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Hapaa tunapanga mstarii tunaenda kwa stailii mojaaa ikikolea kila mmoja kivyakee
Hapa Bantu Lady pembeni Kapachino Poor Brain Kiduku Mpapaso National Anthemnamie mwisho
Deeejaayy waletreeeeeeπππππ