kiduku mpapaso
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 1,987
- 4,872
Ukwaju umekosekana
Usimoe simu na pc unaharibu
Sema huku makazi mapya kwa kinyamwezi sana

Uje kututembelea basi ☺️Sema huku makazi mapya kwa kinyamwezi sana
Ni![]()
Saaafii ankoli
Nishapika nimetia onion na sukar na chumviUko na nyama?weka carrot,hoho,onion(julian style),soy sosi,salt and pepper….ningekuandikia mengi lakini kwa sasa hivi haya yanatosha

Tunasubilia ushind wetu leo yanga ningekuwa good ningeenda kuangalia
Ila Lizzy 😂😂😂
Nakuja chap shem darling😊
Na ukiwa unamkubalia kucheza 🃏🎲 basi umemaliza!!!Tena ntakuwa napika naye stori kama zote
Hawezi kunifukuza
Na mchana nilikula 🍪 na ☕️ tu.Ila Lizzy 😂😂😂
Me hapo saa 5 mbali, usingizi utakuwa umekata. Njaa hii hapa inakwangua balaa