Selfika na JF: Snap it. Show it

Wanaotoka na waume za watu wana moyo. leo nimetukanwa bila kosa . Tena matusi heavy , sijazoea dah Antonnia ndo maana najiepushaga mie .
Pole sana dear Umetukanwa wapi ??? kisa nini???? Hahahaaa wame za watu Nuksi sana dear!
 
Pole sana dear Umetukanwa wapi ??? kisa nini???? Hahahaaa wame za watu Nuksi sana dear!
kwa simu dah . Jamaa alikuwa amenipigia simu nikamjibu nipo church . Anapiga tu yeye .. Huyo mkewe kuangalia simu kaona namba yangu inapigwa frequently ndo akaamua kuja hewani kunitukana
 
Pole sana dear Umetukanwa wapi ??? kisa nini???? Hahahaaa wame za watu Nuksi sana dear!
Asante mwaya . hao ni zaidi ya nuksi . kanipigia mara mbili ananitukana nikasema ngoja niblock tu number nimekoma mie
 
kwa simu dah . Jamaa alikuwa amenipigia simu nikamjibu nipo church . Anapiga tu yeye .. Huyo mkewe kuangalia simu kaona namba yangu inapigwa frequently ndo akaamua kuja hewani kunitukana
Lol pole kipenzi labda alijua mali yake inataka kubebwa kuibiwa hahaa! Huyo nawewe si ungemjibu kunya apambane na mumeww jamani heeeh!!! ! Pole dear!
 
Lol pole kipenzi labda alijua mali yake inataka kubebwa kuibiwa hahaa! Huyo nawewe si ungemjibu kunya apambane na mumeww jamani heeeh!!! ! Pole dear!
yule mdada hayupo sawa namuelekeza tu vizuri , haelewi na mie siwezi kufoka wala kutukana . Muda mwingine wanawake tunagombana kumbe me ndo mwenye kosa .
 
Hapana sio love hiyo ni uchoyo na ulimbukeni . Huyo mume asiwe na rafiki za ke .. Hapo unakuwa mke msumbufu utakuja kutukana watu sio mara kesho mume hana kazi
Nilishakwambia

Urafiki wa ke na me kwa wazungu huko

Bongo ni kulana tu

Njoo kwa singo mbobezi hapa

Unaruka ruka kama maharage chunguni

Sent from my TECNO BD4h using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…