shule zote nilizosomaa visanga vyangu na matukio wanayajua.
Tena o level, yule mkuu wa shule alikuaga mkali balaa ila kwangu alipoaaa, nikifanya matukio anaanza kunihubiria, alikuaga mseminary, bas akianza kuongea hapoo utaskia haya sali mabaya yakupitee.
Afu nlikua maarufu, imagine niko 4m 1 lakini wanafunzi wa advance wananijua km tunasoma wote class 1.