Mi hata sitaki kuona mambo ya babu yetu humuuuuIla mfollow back huo ndio upendo wa kweli unajua faida ya kumfollow mtu hata akibadili username bdo unamuona vizuri mfano hai ni juma mpemba Rumaiya yna2 a.k.a Ms cee
Kama ni kweli jamaa namuonea wivu.
My boss lady tangu enzi zile unaanza join JF na avatar zako zile za vipensi najua huna baya na mtu ni mkarimu mwalimu mwenye masters yake hupendi stress wala manyanyaso! Embu fungua mtima wako umkabidhi babu funguo za moyo wako autibu kwa busara za uzee wake na hekima ya umri wake akupende na kukutunza kwa usawa wa uzuri wako na mwisho tunajua umeanza kucheza tena vicoba na bado unadaiwa marejesho kila mahali embu acha babu atibu hilo tatizo la kipesa AntonniaMi hata sitaki kuona mambo ya babu yetu humuuuu! Nimfollow ili nigundue nini mie sitrakiii
Unamuonea wivu nani Post M-aloneKama ni kweli jamaa namuonea wivu.
Waongo haooo usiwasukilizeeee pilot...Nilishakoma kuwa na mtu humu sirudiii trenaaaaaa!!Kama ni kweli jamaa namuonea wivu.
Hahaha Vicoba My sweetdaddie ashamaliza trabu zoteeee!! Hio ni mali ya bibi tyu pullliiizzzzzzzzzzzzzzz muheshimu babu yetu kwanzaaa!!!My boss lady tangu enzi zile unaanza join JF na avatar zako zile za vipensi najua huna baya na mtu ni mkarimu mwalimu mwenye masters yake hupendi stress wala manyanyaso! Embu fungua mtima wako umkabidhi babu funguo za moyo wako autibu kwa busara za uzee wake na hekima ya umri wake akupende na kukutunza kwa usawa wa uzuri wako na mwisho tunajua umeanza kucheza tena vicoba na bado unadaiwa marejesho kila mahali embu acha babu atibu hilo tatizo la kipesa Antonnia
Bora uzima maisha ni matokeo tyuuuuuu!! Abaki na pesa zake au awape wengine mie sitrakiii!!My boss lady tangu enzi zile unaanza join JF na avatar zako zile za vipensi najua huna baya na mtu ni mkarimu mwalimu mwenye masters yake hupendi stress wala manyanyaso! Embu fungua mtima wako umkabidhi babu funguo za moyo wako autibu kwa busara za uzee wake na hekima ya umri wake akupende na kukutunza kwa usawa wa uzuri wako na mwisho tunajua umeanza kucheza tena vicoba na bado unadaiwa marejesho kila mahali embu acha babu atibu hilo tatizo la kipesa Antonnia
nimemsalimu boss lady wetu . Naona bado hawajafungana
So Biurifoooo πππππ₯°π₯°!
Thanks tonniaπSo Biurifoooo πππππ₯°π₯°!
Wabheja sana!
Achana na hizo story, unamfahamu Ms cee hebu nipe mawili matatu kumhusu tafadhali.Unamuonea wivu nani Post M-alone
UjikuteKama unamtaka si uje ulete Posa huku Kijijini
Nimepunguza mahari yake kutoka 10M hadi 2M kwako tu lakini