Kama kuna uliyemtag akaona basi huo utakuwa muujiza kiufupi wewe bado sana malizia kwanza chuo alafu upate kazi ndio uanze kugombania pisi kali, kwa sasa subiri huruma tu
ππ Wacha kusema kwa Sauti kuhusu hili, usije kufanya CAG anipe Hati Chafu Bure Wakati tumeitumikia hii Nchi kwa Uzalendo Mkubwa hadi kustaafu kwa Heshima Miaka 20 iliyopitaπ€