Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,307
- 32,796
Kama kuna uliyemtag akaona basi huo utakuwa muujiza kiufupi wewe bado sana malizia kwanza chuo alafu upate kazi ndio uanze kugombania pisi kali, kwa sasa subiri huruma tu [emoji23]
ππ Wacha kusema kwa Sauti kuhusu hili, usije kufanya CAG anipe Hati Chafu Bure Wakati tumeitumikia hii Nchi kwa Uzalendo Mkubwa hadi kustaafu kwa Heshima Miaka 20 iliyopitaπ€[mention]Grahams [/mention] mzee aliye staafu huku kaichia serikali hasara ya bil 8
Niaje Carrasco putin[mention]Wigelekelo [/mention] toka uzaliwe singo sasa unatumia Smartphone ili iweje
Henna[emoji3059][emoji3059][emoji3059]View attachment 2489212
Alitupeleka tu akatuacha.πUlikuwa na [mention]National Anthem [/mention] hapo [emoji35][emoji35][emoji35]
Kumekucha [emoji23][emoji23] msinitajie mapenz nimemmiss ankowenu had nataka kuzirai[emoji23][emoji23]
πππKheee uncle wa mkopo nipo hapa nikodishe tu [emoji41]
Alitupeleka tu akatuacha.[emoji846]View attachment 2489403
Pole sana mzee
[emoji23][emoji23][emoji23]