ππππ hao ndio wanawake sasa.. sio hao wetu, malingoo mengiii kama wana mili ya makaratasi.. hapo penyewe mzee.. kila jioni ukitoka kazini unapita kusabahi ndio unarudi home
waburushi shida yao, kwenye pesa wanakua kama mashetani, hawashindwi kukuua.. nina memory nao mbaya sana hao watu.. alafu hiyo pili kama umesoma Cuba ile course flani tayari code ipo wazi