waburushi shida yao, kwenye pesa wanakua kama mashetani, hawashindwi kukuua.. nina memory nao mbaya sana hao watu.. alafu hiyo pili kama umesoma Cuba ile course flani tayari code ipo wazi π π π π
waburushi shida yao, kwenye pesa wanakua kama mashetani, hawashindwi kukuua.. nina memory nao mbaya sana hao watu.. alafu hiyo pili kama umesoma Cuba ile course flani tayari code ipo wazi π π π π
Kweli aisee kuna mwanangu alimweka ndani mtoto wa kiburushi kasafiri demu kaenda kwa mwenye mkwanja kumzidi tena Dubai. Wazee wa code tumeshaelewa mkuu π€£π€£π€£
Kweli aisee kuna mwanangu alimweka ndani mtoto wa kiburushi kasafiri demu kaenda kwa mwenye mkwanja kumzidi tena Dubai. Wazee wa code tumeshaelewa mkuu π€£π€£π€£
ππππ hao ndio wanawake sasa.. sio hao wetu, malingoo mengiii kama wana mili ya makaratasi.. hapo penyewe mzee.. kila jioni ukitoka kazini unapita kusabahi ndio unarudi home