Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahaha..watu mko vzr mnajipanga mapema mkuu wa Shule lazima atakua bestie yenu tu huyoo

Binamu ni kujidunduliza tu kidogo kidogo ikifika Nov inakua imefika

halafu watoto wangu wote wapo shule tofauti


May be wakija Dodoma ndiyo watasoma shule moja
 
Binamu ni kujidunduliza tu kidogo kidogo ikifika Nov inakua imefika

halafu watoto wangu wote wapo shule tofauti


May be wakija Dodoma ndiyo watasoma shule moja
Ntaondoka na hii ni good idea mmeipenda
 
Cha ajabu ukienda pale kivukoni muda huu,utakuta nyomi la watu wamepanga foleni wanasubiri mwendokasi ya kukaa.
Na pale Kuna mwendokasi limeshajaa,hawataki kuliondoa eti wanasubiri watu wa kusimama hadi lijae lote na wakati posta ya zamani,halmashauri,kisutu,fire Kuna watu kibao watapanda.

Kwahiyo mnasimama kwenye foleni na magari mengine yamewekwa tu pembeni,ila wanasubiri wanataka watu wapande lililojaa tayari ,na watu hawataki lililojaa,wanasubiri lenye siti maana mbezi ni parefu.

Aliyewaroga viongozi na wasimamizi Tz alishakufa na vifaa vyake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…