Selfika na JF: Snap it. Show it

We mtoto mbona una kichwa kizuri
 
Mbona nnachokiona kwenye picha na maandishi nnayoyasoma kwenye comment havifanani ? Nimetafuta hilo bichwa na mapembe sijaviona.
 
Me hata sijahangaika na kichwa nimeshuka shingoni hadi kifuani
 
labda kwa sababu ya hilo li emoji ningelitoa hilo kingeonekana vizuri kabisa yaani kina mapembe halafu hakina chogo,, ningekuwa nimewahi piga picha kwa pembeni kama hivyo alivyopiga Atoto ningewaonesha ila ndiyo sina picha ya hivyo..
Mbona nnachokiona kwenye picha na maandishi nnayoyasoma kwenye comment havifanani ? Nimetafuta hilo bichwa na mapembe sijaviona.
 
Duuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…