Selfika na JF: Snap it. Show it

Miss you too dear [emoji7][emoji7]

ijumaa inasemaje
leo nimeamka na uchovu nahisi kulala tu siku nzima
Ijumaa iko poaaa, niko na Genius hapa vimbwetani tunakula ice cream. Nataman tu [emoji182] hapa hapa tatizo ana aibu mnoo.

Jana kanipa mambo makubwaa afu matamu tamu.
 
Kuwadi mzoefu plus kungwi nakusalimia [emoji7][emoji7][emoji7][emoji7][emoji7]
Nipoooo hapaaa mtoto mzuri,
Kwann unamtesa mwalimu wangu, na unajua kwako amezama, amekufa na ameozaa.

Mtoto mzurii wee tuliaa huyo Jack hana mbambamba kanyooka km rulaaa, relaaaaaxx ule mema ya uumbaji wa Jah.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
weuweeh una enjoy tu maisha ...haha unatamani nn .
Coca wewe ni mtundu inavyoonekana.
Genius nilikua namuonaga mzembe mzembe, niliwaza hataweza heka heka zangu za kwa bed. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Ananijuliaaa jomoneeeeee, na venye wote tupo eze tu keri, aririiiiiiiii
Kunibebaaa juu juu kitu imo ndani, tunazungukaa chumban, yeye anapiga kinandaa, mie naimba kusifu na kuabuduuuu.

Sio genius wa class tyuuh had kitandaniiiii. Hapa naweweseka na Morning glory ya kibabee alionipaa. [emoji8][emoji8][emoji8]

Nilichelewa wapi kumjuaaa, mapenzi yametufikiaa wenyeweee.
 
Aiasee kumbe ndo huyu wa jana ..
Genius yupo vere aiseee ..
mnamaliza masoml vizuri
Weuweeeeeeeee mpareee huyoooo.
Afu sio bakhiri sasa, aiiiiiiiiiiiiiiiii

Nna bahati na wapareeee mie. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Glenn tuiache kwanza hii pisi kali, nimeshaiundia tume, natarajia majibu ya tume mwisho wa mwaka(hii ni project kabisa🤣🤣🤣)
Mwache alizwe na dogo ndipo atajui umuhimu wa malejent🤣🤣🤣
 
mambo yamenouga weh
anakufikisha palipo
hahah wote viportable alooh.

Naona genius kaingia hadi kwenye damu ... shikilia hapo hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…