Kwanza mmeambiwa humu ndani msiongee na mie,
Watu wanakua bitter mnooo, hebu mninuniee tena mnifukuzeee kabisaaa selfikaaaa.
Nyie nachekaaaa km chiziiii, mtu hana furaha na maisha yake.
Which zawadiiiiiii na venyeee huu month wa kujidai.
Nasubir kuambiwa "wee mbwa umekua mkubwaa uache ujinga"