Selfika na JF: Snap it. Show it

Msichanje chale yo yote katika nyama ya miili yenu kwa ajili ya wafu, wala msiandike alama miilini mwenu; mimi ndimi Bwana.

Mambo ya Walawi 19:28

Mlale unono
Ndimi future pastor Jr
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 Vp experiance yako ipo vipi hapo... Mpaka umesema hivo
Bahati nzuri sijawai kuwa na uzoefu na wanawake wa humu toka nimejiunga JF, na sijawai omba na sitokaa niombe kukutana na wanawake wa humu.. Sababu kubwa ya visa ninavyo visoma humu ndani vya usariti, unafiki, uongo na kuzishiana na watu kupenda kujuana juana ile kinafiki.. Sasa wengine maisha yetu tulisha amua kuwa ya siri na yasio julikana na kila mtu.. Baadhi ya washikaji kama wanne tu ndio ambao nimewi kutana nao.. Ila wanawake kaa nao mbali hukosi kuambiwa ulitaka kuwabaka
 
Ahahahahahaha adi ubongo.... Kabisa...🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 Yaan umenishawiahi ngoja nijichanganye
Unataka ubakwr labda labda 🀣🀣🀣😬😬😬!! Unanitafutia laana za rejareja mr T baki huko huko pullliiizzzzzzzzzzzzzzz βœ‹βœ‹βœ‹!
 
🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣Mwanawane weee muoga bhana.... Shida ipo wapi hapo.. unajitoa ufahamu tuu.. weeknd vibeee mi naingia beach 🀣🀣🀣🀣🀣 mambo ya visa vya usaliti oky ila hayo yapo tuu na tunaishi nayo... ,🀣🀣🀣🀣🀣
 
Naselfika tuseme amen😁😁🀭🀭🀭!!! Utikia mjomba!!🀣
 
Unataka ubakwr labda labda 🀣🀣🀣😬😬😬!! Unanitafutia laana za rejareja mr T baki huko huko pullliiizzzzzzzzzzzzzzz βœ‹βœ‹βœ‹!
🀣🀣🀣🀣🀣🀸🀸🀸🀸🀸🀸🀸 Weeeeh hii mii siijibu nampa..NT hatakujibu hii.. na usikae ukalaumu majibu yake... National Anthem jibuu hiiπŸ‘†πŸ‘†πŸ‘†
 
Kila la kheri aseee... Mie mwanawane kwa hawa wamama zetu acha niwe muoga πŸ˜…πŸ˜… sitaki kuishi kwa mashaka humu, mwisho wa siku uambiwe mtu mwenye anakojoa kama kuku akiingiza na kutoa tayari, una hama jf bila kupenda 🀣🀣🀣 acha tubaki na wadada zetu wa kitaaa
 
Nasubiria 🀳🀳🀳🀳🀳🀳 tyu miee!! Cant wait πŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒ!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…