Bwanabwanaaa jana ile mchana si nkajifanya kucheki boli la saa 7 kwa simu na tu mb twangu twa kubip??!!! Hata mpira hatukuumaliza tu Mb twote kwishaaaa π€£π€£π€£π€£π!! Huku kwenyewe bushiiii vocha hadi muagize mjini huko kwenye duka chair wa kitongoji!! π€π€!! Leo Jioni ndio nikasafiri kufata vocha nahuduma zinazofanana nahizo!!