Poor Brain JF-Expert Member Joined Jul 5, 2019 Posts 27,543 Reaction score 55,253 Nov 18, 2022 #287,541 Tinsley said: I think I'll be fooling myself ππ what do I gain by cheating ? I know ni vizuri kuwa na back up lakini nishashindwa. akizingua nabaki mwenyewe kama kawa ππ . Click to expand... π€£π€£π€£π€£π€£ Sasa nyie ndo mnakujaga kuwa stressed stressed an mpaka mnajuta
Tinsley said: I think I'll be fooling myself ππ what do I gain by cheating ? I know ni vizuri kuwa na back up lakini nishashindwa. akizingua nabaki mwenyewe kama kawa ππ . Click to expand... π€£π€£π€£π€£π€£ Sasa nyie ndo mnakujaga kuwa stressed stressed an mpaka mnajuta
Wigelekelo JF-Expert Member Joined Sep 2, 2018 Posts 8,765 Reaction score 26,901 Nov 18, 2022 #287,542 Depal said: Hakuna hiyo Click to expand... Usinibanie waiti Mwanangu mwenyewe
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,287 Nov 18, 2022 #287,543 Wigelekelo said: Ya Ex Ujue nini Wanaume tupo kama vichanga Angalia vinavyonyonya vikideka Na kuweka nne kushika kidevu cha mzazi Thubutu ukikatize Ndio balaa linapoanza Tupo hivyo Click to expand... Haikuwa ya X Just mtongozo na nikala ndoige πππ
Wigelekelo said: Ya Ex Ujue nini Wanaume tupo kama vichanga Angalia vinavyonyonya vikideka Na kuweka nne kushika kidevu cha mzazi Thubutu ukikatize Ndio balaa linapoanza Tupo hivyo Click to expand... Haikuwa ya X Just mtongozo na nikala ndoige πππ
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,021 Reaction score 177,340 Nov 18, 2022 #287,544 Poor Brain said: Wanawazidi hadi wanaume... Afu nyie sasa mambo kidogo tu mna lalamika weeeeeehπ€£ Click to expand... Kwahio mnamsaidiaje??? Anaelalamika lalamika sana??? Wigelekelo tia neno! Samaleko selfika!!β
Poor Brain said: Wanawazidi hadi wanaume... Afu nyie sasa mambo kidogo tu mna lalamika weeeeeehπ€£ Click to expand... Kwahio mnamsaidiaje??? Anaelalamika lalamika sana??? Wigelekelo tia neno! Samaleko selfika!!β
Poor Brain JF-Expert Member Joined Jul 5, 2019 Posts 27,543 Reaction score 55,253 Nov 18, 2022 #287,545 Wigelekelo said: "..ila kukusaidia naweza kabisa an 100%" Hizo mambo angeandika Ke atleast Sasa napata gagaziko usitake nielewe Nilivyoelewa Click to expand... π€£π€£π€£π€£π€£ Hatariii hiyo aiseeee
Wigelekelo said: "..ila kukusaidia naweza kabisa an 100%" Hizo mambo angeandika Ke atleast Sasa napata gagaziko usitake nielewe Nilivyoelewa Click to expand... π€£π€£π€£π€£π€£ Hatariii hiyo aiseeee
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Nov 18, 2022 #287,546 Depal said: Jitahidi mpaka wazazi wamjue ππ ama laaa tutakuja na kikosi kazi kubembeleza Click to expand... Mbona kikosi kazi π€£π€£π€£π€£ Mdudu usinifanyie hivyo jamani
Depal said: Jitahidi mpaka wazazi wamjue ππ ama laaa tutakuja na kikosi kazi kubembeleza Click to expand... Mbona kikosi kazi π€£π€£π€£π€£ Mdudu usinifanyie hivyo jamani
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Nov 18, 2022 #287,547 Poor Brain said: π€£π€£π€£π€£π€£ Sasa nyie ndo mnakujaga kuwa stressed stressed an mpaka mnajuta Click to expand... Stress ni kawaida sana mie mjinga siwezi kudanganya π niahazoea kuwaza toka niko mdogo .
Poor Brain said: π€£π€£π€£π€£π€£ Sasa nyie ndo mnakujaga kuwa stressed stressed an mpaka mnajuta Click to expand... Stress ni kawaida sana mie mjinga siwezi kudanganya π niahazoea kuwaza toka niko mdogo .
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,287 Nov 18, 2022 #287,548 Tinsley said: I think I'll be fooling myself ππ what do I gain by cheating ? I know ni vizuri kuwa na back up lakini nishashindwa. akizingua nabaki mwenyewe kama kawa ππ . Click to expand... ππππ
Tinsley said: I think I'll be fooling myself ππ what do I gain by cheating ? I know ni vizuri kuwa na back up lakini nishashindwa. akizingua nabaki mwenyewe kama kawa ππ . Click to expand... ππππ
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Nov 18, 2022 #287,549 Depal said: ππππ Click to expand... Hahaha yani siwezi mie hapo ndo najiona nilivyo zoba π
Depal said: ππππ Click to expand... Hahaha yani siwezi mie hapo ndo najiona nilivyo zoba π
Poor Brain JF-Expert Member Joined Jul 5, 2019 Posts 27,543 Reaction score 55,253 Nov 18, 2022 #287,550 Antonnia said: Kwahio mnamsaidiaje mwanamke wahivo?? Anaelalamika lalamika sana??? Samaleko selfika!!β Click to expand... Yaani ni kumwambia asiwe mzembe mzembe... Una trust vipi mtu 100% π€£π€£π€£π€£π€£
Antonnia said: Kwahio mnamsaidiaje mwanamke wahivo?? Anaelalamika lalamika sana??? Samaleko selfika!!β Click to expand... Yaani ni kumwambia asiwe mzembe mzembe... Una trust vipi mtu 100% π€£π€£π€£π€£π€£
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Nov 18, 2022 #287,551 Wigelekelo said: Dadake niaje Chalii ako namsaka simpati Click to expand... Niko poa kakake, za wewe? Yule chalii sijui katekwa na nani National Anthem werayuuu
Wigelekelo said: Dadake niaje Chalii ako namsaka simpati Click to expand... Niko poa kakake, za wewe? Yule chalii sijui katekwa na nani National Anthem werayuuu
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,021 Reaction score 177,340 Nov 18, 2022 #287,552 Poor Brain said: Yaani ni kumwambia asiwe mzembe mzembe... Una trust vipi mtu 100% π€£π€£π€£π€£π€£ Click to expand... Asiwe mzembe kivipi??
Poor Brain said: Yaani ni kumwambia asiwe mzembe mzembe... Una trust vipi mtu 100% π€£π€£π€£π€£π€£ Click to expand... Asiwe mzembe kivipi??
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,287 Nov 18, 2022 #287,553 Lenie said: Mbona kikosi kazi π€£π€£π€£π€£ Mdudu usinifanyie hivyo jamani Click to expand... πππ uzuri ni kwamba you know each and everything ,,sasa hapo mdudu nakusaidiaje π€£π€£π€£
Lenie said: Mbona kikosi kazi π€£π€£π€£π€£ Mdudu usinifanyie hivyo jamani Click to expand... πππ uzuri ni kwamba you know each and everything ,,sasa hapo mdudu nakusaidiaje π€£π€£π€£
Poor Brain JF-Expert Member Joined Jul 5, 2019 Posts 27,543 Reaction score 55,253 Nov 18, 2022 #287,554 Tinsley said: Stress ni kawaida sana mie mjinga siwezi kudanganya π niahazoea kuwaza toka niko mdogo . Click to expand... Bado bado wewe. Tunasema mazingira hayajakushape weweπ
Tinsley said: Stress ni kawaida sana mie mjinga siwezi kudanganya π niahazoea kuwaza toka niko mdogo . Click to expand... Bado bado wewe. Tunasema mazingira hayajakushape weweπ
tamsana Platinum Member Joined Jan 13, 2012 Posts 3,831 Reaction score 8,247 Nov 18, 2022 #287,555 Depal said: Kudadeki Yule aliefanikiwaga kunistress Alinambiaga natamani kuiambia dunia namna navyokupendaβ¦ Mara siku ingine aniangalieee weee afu aseme unajua we ni karembo flan hivi ila wapiiiii, alikuja kuniacha kisa sms 1 tu. Click to expand... Hiyo sms itakuwa ilikuwa nzito π€£
Depal said: Kudadeki Yule aliefanikiwaga kunistress Alinambiaga natamani kuiambia dunia namna navyokupendaβ¦ Mara siku ingine aniangalieee weee afu aseme unajua we ni karembo flan hivi ila wapiiiii, alikuja kuniacha kisa sms 1 tu. Click to expand... Hiyo sms itakuwa ilikuwa nzito π€£
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,524 Reaction score 203,287 Nov 18, 2022 #287,556 Tinsley said: Hahaha yani siwezi mie hapo ndo najiona nilivyo zoba π Click to expand... Basi janjaruka kidogo π€£
Tinsley said: Hahaha yani siwezi mie hapo ndo najiona nilivyo zoba π Click to expand... Basi janjaruka kidogo π€£
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Nov 18, 2022 #287,557 Poor Brain said: Bado bado wewe. Tunasema mazingira hayajakushape weweπ Click to expand... Ooh my , siwezi tu Kuna watu wengine wapo tu hivyo . hatuwezi fanana.
Poor Brain said: Bado bado wewe. Tunasema mazingira hayajakushape weweπ Click to expand... Ooh my , siwezi tu Kuna watu wengine wapo tu hivyo . hatuwezi fanana.
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,021 Reaction score 177,340 Nov 18, 2022 #287,558 tamsana said: Hiyo sms itakuwa ilikuwa nzito π€£ Click to expand... Nipo Nawafuatilia kwa umakini sana!!ππ
tamsana said: Hiyo sms itakuwa ilikuwa nzito π€£ Click to expand... Nipo Nawafuatilia kwa umakini sana!!ππ
Poor Brain JF-Expert Member Joined Jul 5, 2019 Posts 27,543 Reaction score 55,253 Nov 18, 2022 #287,559 Antonnia said: Asiwe mzembe kivipi?? Click to expand... Yaan usiweke akilini kuamini mazima kwenye vitu hivo.... Uzembe unakuja mtu anapozani penzi atazikwa nalo...ππ¨π¨
Antonnia said: Asiwe mzembe kivipi?? Click to expand... Yaan usiweke akilini kuamini mazima kwenye vitu hivo.... Uzembe unakuja mtu anapozani penzi atazikwa nalo...ππ¨π¨
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Nov 18, 2022 #287,560 Depal said: Basi janjaruka kidogo π€£ Click to expand... Hapa ndo nimejanjaruka ati ππ Nilikuwa mpole sana .
Depal said: Basi janjaruka kidogo π€£ Click to expand... Hapa ndo nimejanjaruka ati ππ Nilikuwa mpole sana .