Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 28,791
- 58,403
π€£π€£π€£π€£π€£ Sasa nyie ndo mnakujaga kuwa stressed stressed an mpaka mnajutaI think I'll be fooling myself ππ
what do I gain by cheating ?
I know ni vizuri kuwa na back up lakini nishashindwa.
akizingua nabaki mwenyewe kama kawa ππ .
Usinibanie waitiHakuna hiyo [emoji23][emoji23]
Haikuwa ya XYa Ex[emoji848]
Ujue nini
Wanaume tupo kama vichanga
Angalia vinavyonyonya vikideka
Na kuweka nne kushika kidevu cha mzazi
Thubutu ukikatize
Ndio balaa linapoanza
Tupo hivyo
Kwahio mnamsaidiaje??? Anaelalamika lalamika sana??? Wigelekelo tia neno!Wanawazidi hadi wanaume... Afu nyie sasa mambo kidogo tu mna lalamika weeeeeehπ€£
π€£π€£π€£π€£π€£ Hatariii hiyo aiseeee"..ila kukusaidia naweza kabisa an 100%"
Hizo mambo angeandika Ke atleast
Sasa napata gagaziko usitake nielewe
Nilivyoelewa
Mbona kikosi kazi π€£π€£π€£π€£Jitahidi mpaka wazazi wamjue ππ ama laaa tutakuja na kikosi kazi kubembeleza
Stress ni kawaida sanaπ€£π€£π€£π€£π€£ Sasa nyie ndo mnakujaga kuwa stressed stressed an mpaka mnajuta
ππππI think I'll be fooling myself ππ
what do I gain by cheating ?
I know ni vizuri kuwa na back up lakini nishashindwa.
akizingua nabaki mwenyewe kama kawa ππ .
Hahaha yani siwezi mieππππ
Yaani ni kumwambia asiwe mzembe mzembe... Una trust vipi mtu 100% π€£π€£π€£π€£π€£Kwahio mnamsaidiaje mwanamke wahivo?? Anaelalamika lalamika sana???
Samaleko selfika!!β
Niko poa kakake, za wewe?Dadake niaje
Chalii ako namsaka simpati
Asiwe mzembe kivipi??Yaani ni kumwambia asiwe mzembe mzembe... Una trust vipi mtu 100% π€£π€£π€£π€£π€£
πππ uzuri ni kwamba you know each and everything ,,sasa hapo mdudu nakusaidiaje π€£π€£π€£Mbona kikosi kazi π€£π€£π€£π€£
Mdudu usinifanyie hivyo jamani
Bado bado wewe. Tunasema mazingira hayajakushape weweπStress ni kawaida sana
mie mjinga siwezi kudanganya π
niahazoea kuwaza toka niko mdogo .
Hiyo sms itakuwa ilikuwa nzito π€£Kudadeki
Yule aliefanikiwaga kunistress
Alinambiaga natamani kuiambia dunia namna navyokupendaβ¦
Mara siku ingine aniangalieee weee afu aseme unajua we ni karembo flan hivi ila wapiiiii, alikuja kuniacha kisa sms 1 tu.
Basi janjaruka kidogo π€£Hahaha yani siwezi mie
hapo ndo najiona nilivyo zoba π
Ooh my , siwezi tuBado bado wewe. Tunasema mazingira hayajakushape weweπ
Nipo Nawafuatilia kwa umakini sana!!ππHiyo sms itakuwa ilikuwa nzito π€£
Yaan usiweke akilini kuamini mazima kwenye vitu hivo.... Uzembe unakuja mtu anapozani penzi atazikwa nalo...ππ¨π¨Asiwe mzembe kivipi??
Hapa ndo nimejanjaruka ati ππBasi janjaruka kidogo π€£