Hiyo picha ni ujanani wako embu rudi pale juu iangalie ile picha vizuri utaona kabisa ni mmama mtu mzima anaelekea zake kwenye ubibi. Ndio maana nikasema enzi za ujana wako ulikuwa pisi balaa.
π€π Mbona sasa unaonekana umezeeka hivyo Rumaiya au ni picha imenidanganya. Mtu yoyote akiona ile picha atakubaliana na mimi hukosi 58 years. Itabidi upige full ili tuamini isije kuwa tukaanza kutongoza bibi zetu humu ndani π
Ila sura sio kigezo maana hata mbuzi anayo ila wowowo sasa mpaka sasa nahisi naliona lile zigo. Ukilipata hilo huna haja ya mto kabisa kitandani ππ₯
Ila sura sio kigezo maana hata mbuzi anayo ila wowowo sasa mpaka sasa nahisi naliona lile zigo. Ukilipata hilo huna haja ya mto kabisa kitandani ππ₯