FORECASTING: Uchaguzi huu tumeshinda kwa kishindo, nawaomba mliochaguliwa mkachape kazi. Kuna watu waliosusa ni kwasababu walijua watashindwa
Sasa Tz yote iko chini ya CCM, maendeleo yatakuja. Vyama vingine vilikuwa vinatuchelewesha. Watangulizi walikuwa wanafanya mambo ya hovyo