Selfika na JF: Snap it. Show it

Ndio unaniachia mjomba wako me ananivuruga kichwa hapa.
Mbebe uende naye umuache hata nje ya darasa hapo akusubirie, huku atoke kwa muda hadi akikaa sawa🀣🀣🀣
Hakiii nikiendelea kukaa hapa ntaharibikaa na nina kipindi mambo bustani bustani na maji mara kutu na grease zenu nahuyo mjomba😁😁😁😁! Mjomba nakuacha naye anataka aone bustani mfanyie wepesi mjomba wangu pullliiizzzzzzzzzzzzzzz 🀣🀣🀣🀣!!
 
Anataka aone bustani waliopalilia wengine hadi imenawiriii, akuuu

Atafute kieneo chake aanze kukitengeneza na kumwagilia maji hadi pawe bustani watu wakipita watamani kupiga selfie hapo kwa jinsi panavyovutia na kunukia🀣🀣🀣
 
Utaharibikaa au bombaa litaanza mwaga maji hadi unamaliza pindi inabidi ubadilishe koki πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…