Braza ukiona hivyo kuna shida mahali nakuhakikishia, mimi nimeishi miaka 8 nje ya Tz mfukulizo baada tu ya kumaliza kidato cha nn na nimeishi na watu wanazungumza lugha yao native na nimesoma kwa lugha yao hiyo nimerudi bongo natwanga kiswahili vizuri sana na hata lugha yangu sijasahu hata neno moja