Selfika na JF: Snap it. Show it

Jamaa limekaa Ulaya limezunguka mataifa kibao huko linaongea lugha za huko lkn linachapa kiswahili kimenyooka kama rula
Sospeter anaongea kiswahili
Ila sisi wa Kwa madonge kwinama tumeng'ang'ana na broken English
 
Hakika mambo yangu niachiwe mwenyewe...
Braza Mahondaw anasema kuwa eti umesahau humkumbuki kabisa.

Ni kweli au anatupiga kama tu huyu Madame??
Au alitaka umtaje tuπŸ˜ƒπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈ
 
Braza Mahondaw anasema kuwa eti umesahau humkumbuki kabisa.

Ni kweli au anatupiga kama tu huyu Madame??
Au alitaka umtaje tuπŸ˜ƒπŸƒπŸΎβ€β™€οΈπŸƒπŸΎβ€β™€οΈ
Kumbe Unaongelea Mahondaw hapo sihusikiii πŸšΆπŸΌβ€β™€οΈπŸšΆπŸΌβ€β™€οΈπŸšΆπŸΌβ€β™€οΈ!Dog Napika mie mkimaliza mnistue
 
Tutakustua na CC
Braza anakuja nazo


Na yule mjanja anayetembelea nyota ya jina lako mlilolijenga wewe na braza Kwa jasho na damu Kwa miaka zaidi ya 9 ..aisee sisi na braza tunamnyang''anya jina.
 
Nyote Machizi kuanzia wewe Mr vocha nahuyo Chizi wenu mkubwa!!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Uzuri ulijiongezea na jina
Ukaona mbwa tu haitoshi...
Ukaongeza pro max


Akhsante sana brazaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Tutakustua na CC
Braza anakuja nazo


Na yule mjanja anayetembelea nyota ya jina lako mlilolijenga wewe na braza Kwa jasho na damu Kwa miaka zaidi ya 9 ..aisee sisi na braza tunamnyang''anya jina.
Hayo hayanihusu mimi dog mambo yenu nawaachia wenyewe πŸ˜πŸ˜πŸšΆπŸΌβ€β™€οΈπŸšΆπŸΌβ€β™€οΈπŸšΆπŸΌβ€β™€οΈπŸšΆπŸΌβ€β™€οΈπŸšΆπŸΌβ€β™€οΈ!!
 
Hayo hayanihusu mimi dog mambo yenu nawaachia wenyewe πŸ˜πŸ˜πŸšΆπŸΌβ€β™€οΈπŸšΆπŸΌβ€β™€οΈπŸšΆπŸΌβ€β™€οΈπŸšΆπŸΌβ€β™€οΈπŸšΆπŸΌβ€β™€οΈ!!
Dada mavi ya kale hayanukiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ yananukiia kama pafyum πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hayo hayanihusu mimi dog mambo yenu nawaachia wenyewe πŸ˜πŸ˜πŸšΆπŸΌβ€β™€οΈπŸšΆπŸΌβ€β™€οΈπŸšΆπŸΌβ€β™€οΈπŸšΆπŸΌβ€β™€οΈπŸšΆπŸΌβ€β™€οΈ!!
Unamdis ila unamkubali kiaiana
Unamkubali kiainaaaaa


Yeeah yeah CC irudi mizuka irudi mpaka watu tushangaeee
Narap tu wimbo wa Child Benz
 
Dada mavi ya kale hayanukiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ yananukiia kama pafyum πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Naona unakolezeaaa ....msinitafutie matatizo miyeeπŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…