Sisi Yanga wala hatuhitaji kubet
ushindi upo wazi.
.....
wiki jana kuna harusi nilienda,Wakaweka mashindano ya kutoa hela kati ya Simba na Yanga..
Aisee ule mchezo ni mzuri kwa kuwatunza Maharusi
Zilitolewa hela pale,Kila upande hautaki kushindwa ligi..Watu wanaongeza tu hela.