Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Oct 7, 2022 #273,221 Grahams said: Hahaha..........thanks for the courage Mjukuu. Hili Buti hata nikikanyaga msumali unavunjika wenyewe πͺ Click to expand... Hahaha hilo buti linafaa kuwabutulia vijana wanaotusumbua wajukuu wako
Grahams said: Hahaha..........thanks for the courage Mjukuu. Hili Buti hata nikikanyaga msumali unavunjika wenyewe πͺ Click to expand... Hahaha hilo buti linafaa kuwabutulia vijana wanaotusumbua wajukuu wako
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,907 Reaction score 57,704 Oct 7, 2022 #273,222 National Anthem said: Kuna kipindi kanuni inakuwa violated ππππ sema wakipata kivulini wanaishia hata segerea wachache hupatia kivulini na kulia kivulini Click to expand... Hahaha......Mimi pia nimeamua kutengeneza gallery kama za Wachina, nataka Vijana wangu wajifunze namna hela inatafutwa Kwa shida. Hela lazima iwe ya kuitolea Jasho, na Mwanaume lazima ajifunze kuitafuta
National Anthem said: Kuna kipindi kanuni inakuwa violated ππππ sema wakipata kivulini wanaishia hata segerea wachache hupatia kivulini na kulia kivulini Click to expand... Hahaha......Mimi pia nimeamua kutengeneza gallery kama za Wachina, nataka Vijana wangu wajifunze namna hela inatafutwa Kwa shida. Hela lazima iwe ya kuitolea Jasho, na Mwanaume lazima ajifunze kuitafuta
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,907 Reaction score 57,704 Oct 7, 2022 #273,223 Mad Max said: Mpambanaji. Safi sana Click to expand... Tuendelee kupambana tu, Wazungu wanasema "There is no free Lunch......"
Mad Max said: Mpambanaji. Safi sana Click to expand... Tuendelee kupambana tu, Wazungu wanasema "There is no free Lunch......"
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Oct 7, 2022 #273,224 National Anthem
National Anthem JF-Expert Member Joined Aug 9, 2022 Posts 19,175 Reaction score 56,203 Oct 7, 2022 #273,226 Carrasco putin said: Acha kumfananisha yolly yolly ππ na bigijii ww single forever ππππ Click to expand... Utamu wake unaisha ππ
Carrasco putin said: Acha kumfananisha yolly yolly ππ na bigijii ww single forever ππππ Click to expand... Utamu wake unaisha ππ
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,907 Reaction score 57,704 Oct 7, 2022 #273,227 Lenie said: Hahaha hilo buti linafaa kuwabutulia vijana wanaotusumbua wajukuu wako Click to expand... Hawa Vijana wamefanya niingie Dukani kununua hili Buti Kwa ajili ya Ulinzi wa Wajukuu zangu π Alafu Jana, nilisikia Jiwe Juu ya Bati. Nahisi Kuna Mjukuu wangu alikuja Kuitwa Kinamna.
Lenie said: Hahaha hilo buti linafaa kuwabutulia vijana wanaotusumbua wajukuu wako Click to expand... Hawa Vijana wamefanya niingie Dukani kununua hili Buti Kwa ajili ya Ulinzi wa Wajukuu zangu π Alafu Jana, nilisikia Jiwe Juu ya Bati. Nahisi Kuna Mjukuu wangu alikuja Kuitwa Kinamna.
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Oct 7, 2022 #273,228 Grahams said: Hawa Vijana wamefanya niingie Dukani kununua hili Buti Kwa ajili ya Ulinzi wa Wajukuu zangu π Alafu Jana, nilisikia Jiwe Juu ya Bati. Nahisi Kuna Mjukuu wangu alikuja Kuitwa Kinamna. Click to expand... Yaani babu we acha tu, kuna vijana sio wema kabisa Inabidi kuwa standby muda woteπ
Grahams said: Hawa Vijana wamefanya niingie Dukani kununua hili Buti Kwa ajili ya Ulinzi wa Wajukuu zangu π Alafu Jana, nilisikia Jiwe Juu ya Bati. Nahisi Kuna Mjukuu wangu alikuja Kuitwa Kinamna. Click to expand... Yaani babu we acha tu, kuna vijana sio wema kabisa Inabidi kuwa standby muda woteπ
National Anthem JF-Expert Member Joined Aug 9, 2022 Posts 19,175 Reaction score 56,203 Oct 7, 2022 #273,229 Grahams said: Hahaha......Mimi pia nimeamua kutengeneza gallery kama za Wachina, nataka Vijana wangu wajifunze namna hela inatafutwa Kwa shida. Hela lazima iwe ya kuitolea Jasho, na Mwanaume lazima ajifunze kuitafuta Click to expand... ππππ mtu unawaza na kuumiza kichwa hela iingie.. Unawaza na kufikiri hadi unahisi huna tumbo wala kitu kinacho itwa usingizi..
Grahams said: Hahaha......Mimi pia nimeamua kutengeneza gallery kama za Wachina, nataka Vijana wangu wajifunze namna hela inatafutwa Kwa shida. Hela lazima iwe ya kuitolea Jasho, na Mwanaume lazima ajifunze kuitafuta Click to expand... ππππ mtu unawaza na kuumiza kichwa hela iingie.. Unawaza na kufikiri hadi unahisi huna tumbo wala kitu kinacho itwa usingizi..
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,907 Reaction score 57,704 Oct 7, 2022 #273,230 Lenie said: Yaani babu we acha tu, kuna vijana sio wema kabisa Inabidi kuwa standby muda woteπ Click to expand... Hahahaha.................yaani kabisa, alafu walivyo wajanja wamejua nimefuga Mbwa Wakali wao Kila wakija wanakuja na Nyama wanawapa Mbwa then wanawatorosha Wajukuu zangu π€ͺ
Lenie said: Yaani babu we acha tu, kuna vijana sio wema kabisa Inabidi kuwa standby muda woteπ Click to expand... Hahahaha.................yaani kabisa, alafu walivyo wajanja wamejua nimefuga Mbwa Wakali wao Kila wakija wanakuja na Nyama wanawapa Mbwa then wanawatorosha Wajukuu zangu π€ͺ
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,907 Reaction score 57,704 Oct 7, 2022 #273,231 National Anthem said: ππππ mtu unawaza na kuumiza kichwa hela iingie.. Unawaza na kufikiri hadi unahisi huna tumbo wala kitu kinacho itwa usingizi.. Click to expand... Kabisa aisee, inafanya hadi nguvu zile nyingine kuisha. Bora tulivyozaaga mapema πππππ
National Anthem said: ππππ mtu unawaza na kuumiza kichwa hela iingie.. Unawaza na kufikiri hadi unahisi huna tumbo wala kitu kinacho itwa usingizi.. Click to expand... Kabisa aisee, inafanya hadi nguvu zile nyingine kuisha. Bora tulivyozaaga mapema πππππ
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Oct 7, 2022 #273,232 Grahams said: Hahahaha.................yaani kabisa, alafu walivyo wajanja wamejua nimefuga Mbwa Wakali wao Kila wakija wanakuja na Nyama wanawapa Mbwa then wanawatorosha Wajukuu zangu π€ͺ Click to expand... Mbwa nao wanaendekeza njaa sana π
Grahams said: Hahahaha.................yaani kabisa, alafu walivyo wajanja wamejua nimefuga Mbwa Wakali wao Kila wakija wanakuja na Nyama wanawapa Mbwa then wanawatorosha Wajukuu zangu π€ͺ Click to expand... Mbwa nao wanaendekeza njaa sana π
Dormant Account JF-Expert Member Joined Apr 5, 2022 Posts 11,307 Reaction score 32,791 Oct 7, 2022 #273,233 National Anthem said: Utamu wake unaisha Click to expand... Ndyo kama kazaliwa Leo yolly yolly Hachuji
National Anthem said: Utamu wake unaisha Click to expand... Ndyo kama kazaliwa Leo yolly yolly Hachuji
Mad Max JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 31,311 Reaction score 89,479 Oct 7, 2022 #273,234 Lizzy said: View attachment 2379727 Click to expand... Unaendaga mitaa ya kizungu sana.. Nakubali
Grahams JF-Expert Member Joined Mar 19, 2016 Posts 18,907 Reaction score 57,704 Oct 7, 2022 #273,235 Lenie said: Mbwa nao wanaendekeza njaa sana π Click to expand... Hahahahahaha................... hadi nahisi Wanapewa Burger na Pizza, ngoja niendelee kutafiti, haiwezekani waamue kunisaliti hivi π€ͺ
Lenie said: Mbwa nao wanaendekeza njaa sana π Click to expand... Hahahahahaha................... hadi nahisi Wanapewa Burger na Pizza, ngoja niendelee kutafiti, haiwezekani waamue kunisaliti hivi π€ͺ
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Oct 7, 2022 #273,236 Grahams said: Hahahahahaha................... hadi nahisi Wanapewa Burger na Pizza, ngoja niendelee kutafiti, haiwezekani waamue kunisaliti hivi π€ͺ Click to expand... π€£π€£
Grahams said: Hahahahahaha................... hadi nahisi Wanapewa Burger na Pizza, ngoja niendelee kutafiti, haiwezekani waamue kunisaliti hivi π€ͺ Click to expand... π€£π€£
National Anthem JF-Expert Member Joined Aug 9, 2022 Posts 19,175 Reaction score 56,203 Oct 7, 2022 #273,237 Mad Max said: Unaendaga mitaa ya kizungu sana.. Nakubali Click to expand... Lizzy mwenye ni mzungooo π
Mad Max said: Unaendaga mitaa ya kizungu sana.. Nakubali Click to expand... Lizzy mwenye ni mzungooo π
Dr Lizzy Platinum Member Joined May 25, 2009 Posts 31,010 Reaction score 60,472 Oct 7, 2022 #273,238 Mad Max said: Unaendaga mitaa ya kizungu sana.. Nakubali Click to expand... Huku tumejaa waswahili tu.
Mad Max said: Unaendaga mitaa ya kizungu sana.. Nakubali Click to expand... Huku tumejaa waswahili tu.
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Oct 7, 2022 #273,239 Carrasco putin said: Hutak kula Pension yake unafel wap ww Click to expand... sitaki , nitafuta na kijana mwenzangu lol . hata hivyo wazee huwa wapo vizuri na wanadekeza ile mbaya.
Carrasco putin said: Hutak kula Pension yake unafel wap ww Click to expand... sitaki , nitafuta na kijana mwenzangu lol . hata hivyo wazee huwa wapo vizuri na wanadekeza ile mbaya.
Tinsley JF-Expert Member Joined Nov 16, 2020 Posts 14,590 Reaction score 38,225 Oct 7, 2022 #273,240 Carrasco putin said: Hawezi kupika ana mikono laini π Click to expand... Ukirudi niite nije niwapikie siku
Carrasco putin said: Hawezi kupika ana mikono laini π Click to expand... Ukirudi niite nije niwapikie siku