Mchukue sophy27 mrembo haswa katulia anajua kupenda ana tabasamu la uchokozi mahaba kwake kama maji hutojuta kumpenda mwanamke ana jicho la ATM
Hutaki....???π₯Ίπ₯Ίπ’π’π’
Sitaki ππHutaki....???π₯Ίπ₯Ί
Chief imenikumbusha ile user name ya 'kijana wa hovyo' ili bamba sana
ππππ Bwanaaa weee hata ID soon naachana nayo.. Naenda kuishi kijijini nikirudi password sitokuwa nakumbuka nita create ingineChief imenikumbusha ile user name ya 'kijana wa hovyo' ili bamba sana
Kwa nn uliiacha
Aunt yangu yangu nishaambiwa una jicho la ATM mimi nani niachie hii mibaraka?? π€£π€£π€£π€£Hapo kwenye jicho la ATM ndo nimepafurahia ππππaunt nakujengea sanamu kabisa
Hiyo mpya utajiita mzee wa busaraπ€£π€£π€£ππππ Bwanaaa weee hata ID soon naachana nayo.. Naenda kuishi kijijini nikirudi password sitokuwa nakumbuka nita create ingine
Nitaandamana kupinga iyo I'd ya mzee wa busaraHiyo mpya utajiita mzee wa busaraπ€£π€£π€£
ππππ Id mpya, itakuwa : kisichowezekan au 2Β² πππHiyo mpya utajiita mzee wa busaraπ€£π€£π€£
πππNdo nashangaa jicho la kuombea mkopo wew aunt ukija kwangu ni kukopa tu bila riba nikimuangalia meneja tu pale bank πππAunt yangu yangu nishaambiwa una jicho la ATM mimi nani niachie hii mibaraka?? π€£π€£π€£π€£