Selfika na JF: Snap it. Show it

Ndio babuu naogopa kugechwaaaa!! Lol itabidi usafiri nae sasa unamuachaje bibi aende pekeake Lakini huko Mjini kumeharibika babu jipange muende wote Babu pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!
Sina wasiwasi na Bibi yenu,

Unajua tumeshazeeka saivi na kikubwa Wazee tuna slogan yetu kuwa "Kitanda Hakizai Haramu"πŸ€ͺ

As long tumeoana basi watoto wote ni wangu hata kama ni matokeo ya mechi zako za kirafiki huko nje πŸ€ͺπŸ’ͺ

Ninyi Vijana ikitokea hiyo hali basi na ndoa inavunjika hata kama Ina wiki 8πŸ™†
 
Kweli wazee mna busara sana babuu hongereni sana!!
 
Kweli wazee mna busara sana babuu hongereni sana!!
Amen Mjukuu

Ndiyo maana ndoa zetu Wazee zimeweza kudumu miaka mingi pamoja, Mimi na Bibi yako mwezi Ujao tunatimiza miaka 53 ya ndoa yetu and still tuna loviana πŸ€ͺ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…