National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,176
- 56,199
Cannibal aliua 😅😅😅 hii ngoma bado naielewaga sanaAiseee.....hii ngoma aliimba na Cannibal......
Cannibal aliua 😅😅😅 hii ngoma bado naielewaga sanaAiseee.....hii ngoma aliimba na Cannibal......
nitajaribu, thank yousawa .,rafiki ukishindwa mwambie tu
Mm nikipenda napenda kweli yani nikimpenda mtu nakuwa mfungwa kwake nakuwa kiziwi sioni mwingine zaidi yake Nina mapenzi ya kweli na ya dhati sanahuyo binti kakupa nn jamani
sio kumpenda huko .
nilihisi utamuoa kumbe mwaka tu
Watajibena.. Faraja na uhai wangu Darlin uwe na usiku mwema 😍😍😍Ukiwa single unapiga piga tu picha![]()
hahahahaha,wapi hapo ?
Sinapicha mpya dada kesho inshallah
Unataka ubarikiwe au siyo
Uwezi Amin ccy toka siku ile sijapiga picha
ndo maaana unaliaga eehMm nikipenda napenda kweli yani nikimpenda mtu nakuwa mfungwa kwake nakuwa kiziwi sioni mwingine zaidi yake Nina mapenzi ya kweli na ya dhati sana
Ntaumwa mimi walai niangalizie kokote sis akee pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!Sinapicha mpya dada kesho inshallah
Jamani jamani mtanitoa roho mjuee!! mbona ntaumwa mie!! Nifanyie wepesi yoyote sis akee jamanee!!Uwezi Amin ccy toka siku ile sijapiga picha
Bariki Usiku wangu babe ake yolly yolly!! Ukija kuachiwa huna hata kumiiiUnataka ubarikiwe au siyo
Nitake radhi ni yolly yollyBariki Usiku wangu babe ake jolly jolly!! Ukija kuachiwa huna hata kumiii
siyo jolly jolly 




Ww unapendaga nusu nusundo maaana unaliaga eeh
ndo vizuri hivyo , hupendi nusu nusu .