Tumesongwa na dhambi nyingi ndio maana mambo yetu hayaendi, tumejawa na chuki, uwizi, uzinzi na dharau. Liite jina la bwana achana njia mbaya zilizo potoka umrudie bwana Mungu wako kwa maana siku yaja mtalia na kusaga meno!
Najua mmenuna ila nitaendelea kuwakumbusha acheni kutenda dhambi na kuzishangalia dhambi. Mungu amekunusuru kwa vingi sana kwanzia asubuhi mpaka sasa ila hata kusema usali umshukuru hutaki, wewe endekeza anasa za duniani moto wa jehanamu unakusubiri.