Bint mzuri namna hii ukisafiri si unajikuta kila saa unapiga simu na akiwa offline waweza lia..
Mimi mdhaifu huyu sitoweza gharama za ulinzi zitakula akiba yangu..huyu anakufaa wewe mnyamwezi
Umempata huyo ni mrembo haswa katulia mpole tabasamu kwake kama maji kununa hajui tuma vocha sasa mkuu tuweke mambo Sawa shemeji yangu mtarajiwa wa pekee shemeji wa airport
Umempata huyo ni mrembo haswa katulia mpole tabasamu kwake kama maji kununa hajui tuma vocha sasa mkuu tuweke mambo Sawa shemeji yangu mtarajiwa wa pekee shemeji wa airport