Selfika na JF: Snap it. Show it

Ni shida aisee!

Wabebaji wa maradhi haya asilimia kubwa ni Wanawake na bahati mbaya kwao kutokana na maumbile wanaweza kujikuta wanakaa nalo hata miezi 3 hadi Mwaka bila kujijua, wakati Mwanaume ni ndani ya siku Moja tu tayari amejua.

Nisije kufunguka sana Vijana wakapata maswali Kwa Babu yao hapa kwamba inakuwaje na Umri wote huu nikawa Mhanga, hawajui kuwa Ukiona Nyani Mzee ujue amekwepa mishale mingi 🀸🀸
 
🀠🀠🀠🀠 Wanawake wengi wana vifurushi ila hawajui.

Mie nina uhakika pale nilipo jiunga kifushi, Kwa macho unaingia kingi yule mrimbwende ni msafi na hata ndani msafi msomi. Nilipo jua nilifikiria nimuambie ila nikaona hapa nitaambiwa mie ndio nimempa yazuke mengine, nikapiga kimya.. Aendelee kuwaungisha bundle wengine.. Ila vijana sasa hivi hawana hofu na nina hisi kama magonjwa yame expire vile maana ukipita maeneo flani hali ni mbaya kweli kweli
 
Leo nimechukua nondo za kutosha

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
Leo nimechukua nondo za kutosha

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
Nondo kubwa ni kufunga zipu. Piga story ila zipu ifungwe. Maisha haya matamu sana kama afya yako ipo fit 100%.. Ikisha teteleka hata asilimia kadhaa maisha hutofurahia ipasavyo. Afya ni kila jambo. Hata hapa tunachapa story ila hakuna utekelezeji tunachotana akili tu, 🀠🀠🀠🀠🀠 kutokushiriki sex mkuu hupungukiwi chochote..
 
Yaah

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
Ungemueleza ukweli Mkuu

Madhara ya kukaa na ugonjwa wa Gono na Kaswende ni kuja kumwambukiza mtoto ikiwa Mama ni mjamzito na kupelekea watoto Kuzaliwa na disorders za upofu n.k
 
Ungemueleza ukweli Mkuu

Madhara ya kukaa na ugonjwa wa Gono na Kaswende ni kuja kumwambukiza mtoto ikiwa Mama ni mjamzito na kupelekea watoto Kuzaliwa na disorders za upofu n.k
Nilitamani sana kumueleza, ila niliwaza mengi sana.

Natumai atakuwa aligunduaga, maana yupo mzima wa afya. Mbaya sana na watoto wengi huzaliwa kipofu kama mama akiwa na hiyo changamoto. Ila hapa ndio utaona watu hawana tamaduni za ku monitor afya zao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…